Am i heart-broken o am just being dissappointed??????

Achana nae he was not meant for you, angalia masomo yako mdogo wangu. Itakuwa tabu but it possible utamsahau with time. Kuzidi kumpigia masimu or texting ni kujidhalilisha zaidi.

Move on.......
 
Forget him and move on..., Time is the best healer..

Huyo mtu hakufai wala he doesn't deserve your luv.. (kumbuka investing luv on someone kunakuwa na chemical and emotional attachment) ambayo it grows with time hivyo basi ni bora it has finished before it has started sababu angekuacha down the road maybe ingekuuma sana.

Pia kumbuka kwamba watu tunatamani zaidi kitu ambacho hatujakipata (hivyo basi feelings zako kwake huenda zipo exaggerated sababu amekuacha, you have made him to be someone more than he is.., huenda labda ungekuwa nae zaidi ungegundua weaknesses zake nyingine ambazo ungeona he is not all that)

Cha muhimu kata kabisa mahusiano and forget him.., sababu uki-fall in love kwa mtu ambae hakuthamini itakuwa ni mateso zaidi (akunyimae kunde......, akupunguzia mashuzi....)
 
yaani waanauzi sana na ukizingatia wanaoandika hivi field inakuwa inanafasi kubwa.

hawajui hii ni kwenye vi sms eeh inaeleweka mtu kubana pesa.

vitoto vya facebook hivyo, visameheni.... sijui vina-save nini kwa kuandika hivyo
 
Mtambuzi sijui yuko wapi nasikia ndo anafundisha darasa la mambo haya atakuwa na experience.
 
vitoto vya facebook hivyo, visameheni.... sijui vina-save nini kwa kuandika hivyo

you just have to advise,kama huwezi am sure you have alot of things to do rather than insulting me!am sorry kama ntakukwaza
 
wewe kusoma private school inahusuiana vipi na story yako?

inaelekea unapelekesha pesa ulinayo mbele, labda ndio nyie mnaoongelea pesa pesa raha raha masaa 24 kujionyesha mnazo kwa wanaume wengi hii hawapendi as ukizingatia unabebwa na wazazi.

hakutaki songa mbele, pesa sio kushika mtu kimapenzi.

thank you,stay blessed
 
huyo Eddy hukuzaliwa nae....
Utamia kwa muda ila in time utakuwa sawa....
Songa mbele, utampata atakayekupenda kiukweli na kukuthamini....
 
usijali mwaya huyo ni mlaghai tu usijishushie hadhi we mwanamke bwana unatafutwa wasiwasi wa nini???achana na eddy hukuzaliwa naye.he is not the only man left in the world,ingawa naelewa inauma but jikaze mtoto mzuri at last utamtoa tu kichani mwako got that??????????
 
nlimpenda and still nampenda,and nakumbuka sijagombana nae hat kidog cause nilimtumia sms kumwomba msamaha kama ntakuwa nimemkosea au kumkwaza kwa namna moja au nyingine lakin hakujibu:A S cry::A S cry:

Assume mi ni EDDY, na nimepokea simu. Then Nakuambia kwamba hata mi nakupenda, but kwa kuwa haukuwa tayari kwa sex, na kwa kuwa mimi nilikuwa naihitaji, kwa bahati mbaya nilijikuta nimenasa kwa dem mwingine ambaye amekubali kunifunulia bila ubishi sana. Simpendi sana huyu dem na najua hata yeye hanipend kama wewe. Hata hivyo nimeamua nijiweke mbali na wewe na ikiwezekana niachane na wewe kwa sababu kwa ninavyokupenda, siko tayari kuona nakucheat. Natamani ubadilishe mawazo Lindz kabla sijazama sana huku, but kwa kuwa ni msimamo wako, naomba niuheshimu. Sex ni udhaifu wangu na hata nikijidanganya kusubiri hadi tuoane, nitakuwa najidanganya.

Love, you... Mwaaah


Hapo ungejibuje lindz?
 
mi ni msichan mweny umr[kapun]nmemaliza form six katk shule privat hap jijin dsm,miez miwil iliyopita nliomba ushaur hap jamii forum kuhus a boyfriend of mine ambae nliekuwa nae,and alot of pipo walinishaur vizur tu.Ni kijana mweny umri wa miak 22 going 23,ni mwajiriw katik kampun flan hap jijin,nlikutana nae kam miez miwil na nusu iliyopit na kuanzish uhusian,he is not rich wala hajatokea katika jamilia ya katajir,nlimpenda yeye kama yeye,sikuwah kumwomba hela hat siku moja sababu napat hela kutok kwa wazaz wang na ukitegemea ndo kwanz nmemaliz shule na kufaul vizur 2!!huyo kijan nlimwelez kwa sasa sitowez ku-sex nae coz am nat redy though mim sio virgin,bt alinielew na nlifurah coz hakuwah hat siu moja kunisumbua kuhus se*.Cha ajabu tx has been a week sasa sijaongea nae wala nin,and nkimtumia messsage hanijib,nlienda kwa nkaambiwa ameenda kazin sababu nlihis atakuw amepatw na matatiz,nlijaribu kumpigi kwa namb nyingine anapokea na akisikia sauti yangu anakat,nimelia vya kutosha.Tatizo nampenda hatar and tx very hard for me to accept dat EDDY is no longer mine!!!nifanyaje,niendelee kumpigia simu au niache!!!i though he was going to be the last boy in my life and probably a husband cause nlimpenda and still nampenda,and nakumbuka sijagombana nae hat kidog cause nilimtumia sms kumwomba msamaha kama ntakuwa nimemkosea au kumkwaza kwa namna moja au nyingine lakin hakujibu:A S cry::A S cry:
Vianafunzi navyo bhana! at this tender age umeshaanza ku-ngonoka....You can only do one thing at a time, period!
 
before him u survived! now u r surving! and after him u will survive!, leave nature to take its place, focus ahead!
 
Maamuz ni yako binti,yaheshimu...kama hujisiki,hacha tu.kama kapata mwingine na wewe tafuta wa kwako.anaekupenda hakuachi.huyo alitaka sex tu.
 
Back
Top Bottom