lindz
Member
- Apr 29, 2012
- 38
- 8
mi ni msichan mweny umr[kapun]nmemaliza form six katk shule privat hap jijin dsm,miez miwil iliyopita nliomba ushaur hap jamii forum kuhus a boyfriend of mine ambae nliekuwa nae,and alot of pipo walinishaur vizur tu.Ni kijana mweny umri wa miak 22 going 23,ni mwajiriw katik kampun flan hap jijin,nlikutana nae kam miez miwil na nusu iliyopit na kuanzish uhusian,he is not rich wala hajatokea katika jamilia ya katajir,nlimpenda yeye kama yeye,sikuwah kumwomba hela hat siku moja sababu napat hela kutok kwa wazaz wang na ukitegemea ndo kwanz nmemaliz shule na kufaul vizur 2!!huyo kijan nlimwelez kwa sasa sitowez ku-sex nae coz am nat redy though mim sio virgin,bt alinielew na nlifurah coz hakuwah hat siu moja kunisumbua kuhus se*.Cha ajabu tx has been a week sasa sijaongea nae wala nin,and nkimtumia messsage hanijib,nlienda kwa nkaambiwa ameenda kazin sababu nlihis atakuw amepatw na matatiz,nlijaribu kumpigi kwa namb nyingine anapokea na akisikia sauti yangu anakat,nimelia vya kutosha.Tatizo nampenda hatar and tx very hard for me to accept dat EDDY is no longer mine!!!nifanyaje,niendelee kumpigia simu au niache!!!i though he was going to be the last boy in my life and probably a husband cause nlimpenda and still nampenda,and nakumbuka sijagombana nae hat kidog cause nilimtumia sms kumwomba msamaha kama ntakuwa nimemkosea au kumkwaza kwa namna moja au nyingine lakin hakujibu:A S cry::A S cry: