Am i heart-broken o am just being dissappointed??????

lindz

Member
Apr 29, 2012
38
8
mi ni msichan mweny umr[kapun]nmemaliza form six katk shule privat hap jijin dsm,miez miwil iliyopita nliomba ushaur hap jamii forum kuhus a boyfriend of mine ambae nliekuwa nae,and alot of pipo walinishaur vizur tu.Ni kijana mweny umri wa miak 22 going 23,ni mwajiriw katik kampun flan hap jijin,nlikutana nae kam miez miwil na nusu iliyopit na kuanzish uhusian,he is not rich wala hajatokea katika jamilia ya katajir,nlimpenda yeye kama yeye,sikuwah kumwomba hela hat siku moja sababu napat hela kutok kwa wazaz wang na ukitegemea ndo kwanz nmemaliz shule na kufaul vizur 2!!huyo kijan nlimwelez kwa sasa sitowez ku-sex nae coz am nat redy though mim sio virgin,bt alinielew na nlifurah coz hakuwah hat siu moja kunisumbua kuhus se*.Cha ajabu tx has been a week sasa sijaongea nae wala nin,and nkimtumia messsage hanijib,nlienda kwa nkaambiwa ameenda kazin sababu nlihis atakuw amepatw na matatiz,nlijaribu kumpigi kwa namb nyingine anapokea na akisikia sauti yangu anakat,nimelia vya kutosha.Tatizo nampenda hatar and tx very hard for me to accept dat EDDY is no longer mine!!!nifanyaje,niendelee kumpigia simu au niache!!!i though he was going to be the last boy in my life and probably a husband cause nlimpenda and still nampenda,and nakumbuka sijagombana nae hat kidog cause nilimtumia sms kumwomba msamaha kama ntakuwa nimemkosea au kumkwaza kwa namna moja au nyingine lakin hakujibu:A S cry::A S cry:
 
duh..pole mamito, i knw that filing cz chakula wala hakipit nambaya zaid kutopokea au kukata sim anapockia saut yako, we mvizie ukutane nae live au umwambie tatizo ninini? Then kama hasomek huna jins zaid yakupgana na maumiv makal ya kumsahau .pia subir umalize chuo ndo ujiusishe tena na malavdav mana waweza fail ivivivi.
 
Huyo alikua anataka kukuvua gagulo tu, endelea na masomo mdogo wangu, utapata mwingine.


Sent from my iPad using Tapatalk HD
 
bt he usd to tel me he willl neva demand sex mpka nkubali mwenyewe

Pole sana mdogo wangu kwanza mshukuru sana Mungu kwani huyu kijana ungedo naye 2 angekuacha, tena unasafari ndefu ya elimu yaani chuo endelea na masomo na Mungu atakupa mume mzuri achana na huyo tapeli wa mapenzi.
 
i thot he lvd me jaman,i regret y i woz faithful

That statement is not good.Dont ever regret being faithful no matter how bad others treat you.Being faithful is for your own good,its more of a self actualization matter.
And another thing with you ladies is the tendency of falling 'head over heals' in love which isn't a suitable thing instead you need to stand in love.Never act desperate since some men enjoy seeing that.
Relax and make predetermined moves even if it means letting go of the guy.There is no point out of tolerating all that suffering while you have done nothing wrong as far as your explanation is concerned.
 
Pole bint, maumivu ya mapenzi nayajua au niseme wengi wameyapitia,huyo kijana hakua na mapenzi ya kweli kwako alitaka akucheze aondoke, niafadhali maumivu ya sasa hujamvulia nguo kuliko ungesha mvulia yangekua makali mno, chamsingi endelea na masomo kwa makini Sanaa soma pata elimu yako nzuri uwe na kazi nzuri utachagua Yupik unamtaka Yupi humtaki.
 
Baby gal, don't regret being faithful. That is ur quality and u shld be proud. Usijutie kuvaa nguo safi wakati unapita kwenye matope.

Huyo anakufanyia 'mind games', ukikua utaelewa. Anataka kukupa presha ili ukubali masharti yake (nahisi sex litakuwa mojawapo). Usikubali kuvunjika moyo, soma vitabu vya kufundisha, angalia vyuo vinavyofaa na ada zake ili ujadiliane na wazazi, fanya ibada, ongea na marafiki. Usimpigie simu, ukitamani kulalamika mpigie rafiki ambae anaweza kukusikiliza utuwe hasira na frustrations zako. We have all been there, na ukivuka huu mtihani utakuwa sawa tu.

Wewe mrembo tena mtoto. Watakuja wajipange foleni uwafanyishe interview, asikupasue kichwa huyo! Mpotezee afu utamuona anakuja mbiooo!
i thot he lvd me jaman,i regret y i woz faithful
 
The thing is alikua anataka sex tu na alivyoona hawezi kupata ndo akaanzisha vitimbi,watch out anaweza kutumia sex kama kigezo cha kurudi kwenye mstari na ukishampa ndo itakua bye for life!
 
mi ni msichan mweny umr[kapun]nmemaliza form six katk shule privat hap jijin dsm,miez miwil iliyopita nliomba ushaur hap jamii forum kuhus a boyfriend of mine ambae nliekuwa nae,and alot of pipo walinishaur vizur tu.Ni kijana mweny umri wa miak 22 going 23,ni mwajiriw katik kampun flan hap jijin,nlikutana nae kam miez miwil na nusu iliyopit na kuanzish uhusian,he is not rich wala hajatokea katika jamilia ya katajir,nlimpenda yeye kama yeye,sikuwah kumwomba hela hat siku moja sababu napat hela kutok kwa wazaz wang na ukitegemea ndo kwanz nmemaliz shule na kufaul vizur 2!!huyo kijan nlimwelez kwa sasa sitowez ku-sex nae coz am nat redy though mim sio virgin,bt alinielew na nlifurah coz hakuwah hat siu moja kunisumbua kuhus se*.Cha ajabu tx has been a week sasa sijaongea nae wala nin,and nkimtumia messsage hanijib,nlienda kwa nkaambiwa ameenda kazin sababu nlihis atakuw amepatw na matatiz,nlijaribu kumpigi kwa namb nyingine anapokea na akisikia sauti yangu anakat,nimelia vya kutosha.Tatizo nampenda hatar and tx very hard for me to accept dat EDDY is no longer mine!!!nifanyaje,niendelee kumpigia simu au niache!!!i though he was going to be the last boy in my life and probably a husband cause nlimpenda and still nampenda,and nakumbuka sijagombana nae hat kidog cause nilimtumia sms kumwomba msamaha kama ntakuwa nimemkosea au kumkwaza kwa namna moja au nyingine lakin hakujibu:A S cry::A S cry:

dah, yan eddy amepoteza bahat ya kupendwa hivyo, cdhan kama atapata mwngne atakaempenda kama ww
 
mi ni msichan mweny umr[kapun]nmemaliza form six katk shule privat hap jijin dsm,miez miwil iliyopita nliomba ushaur hap jamii forum kuhus a boyfriend of mine ambae nliekuwa nae,and alot of pipo walinishaur vizur tu.Ni kijana mweny umri wa miak 22 going 23,ni mwajiriw katik kampun flan hap jijin,nlikutana nae kam miez miwil na nusu iliyopit na kuanzish uhusian,he is not rich wala hajatokea katika jamilia ya katajir,nlimpenda yeye kama yeye,sikuwah kumwomba hela hat siku moja sababu napat hela kutok kwa wazaz wang na ukitegemea ndo kwanz nmemaliz shule na kufaul vizur 2!!huyo kijan nlimwelez kwa sasa sitowez ku-sex nae coz am nat redy though mim sio virgin,bt alinielew na nlifurah coz hakuwah hat siu moja kunisumbua kuhus se*.Cha ajabu tx has been a week sasa sijaongea nae wala nin,and nkimtumia messsage hanijib,nlienda kwa nkaambiwa ameenda kazin sababu nlihis atakuw amepatw na matatiz,nlijaribu kumpigi kwa namb nyingine anapokea na akisikia sauti yangu anakat,nimelia vya kutosha.Tatizo nampenda hatar and tx very hard for me to accept dat EDDY is no longer mine!!!nifanyaje,niendelee kumpigia simu au niache!!!i though he was going to be the last boy in my life and probably a husband cause nlimpenda and still nampenda,and nakumbuka sijagombana nae hat kidog cause nilimtumia sms kumwomba msamaha kama ntakuwa nimemkosea au kumkwaza kwa namna moja au nyingine lakin hakujibu:A S cry::A S cry:
Keyboard yako inakosa baadhi ya keys au??? Hebu angalia hapo hapo red, tumezoea kuona wanafunzi wa darasa la sita huwa wanafanya hivyo, sisi watu wazima ikiwa hivyo hadi tuvae miwani na kusogeza macho. Andika kwa ufasaha ueleweke.
 
pole sana! jamaa alitaka kitumbua! fanya hiv! mwambie hiv, najua nin kimekukasirisha baby wangu, ok me niko tayari kwa lolote kwaajili yako,njoo tuyamalize,siko tayari kukupoteza. ukiona amekubali na aka respond ndio hapo unapata nafasi nzuri ya kumwaga. maana inawezekana tatizo siyo sex.
 
wewe kusoma private school inahusuiana vipi na story yako?

inaelekea unapelekesha pesa ulinayo mbele, labda ndio nyie mnaoongelea pesa pesa raha raha masaa 24 kujionyesha mnazo kwa wanaume wengi hii hawapendi as ukizingatia unabebwa na wazazi.

hakutaki songa mbele, pesa sio kushika mtu kimapenzi.
 
Keyboard yako inakosa baadhi ya keys au??? Hebu angalia hapo hapo red, tumezoea kuona wanafunzi wa darasa la sita huwa wanafanya hivyo, sisi watu wazima ikiwa hivyo hadi tuvae miwani na kusogeza macho. Andika kwa ufasaha ueleweke.

yaani waanauzi sana na ukizingatia wanaoandika hivi field inakuwa inanafasi kubwa.

hawajui hii ni kwenye vi sms eeh inaeleweka mtu kubana pesa.
 
Back
Top Bottom