Am feeling guilty, nafsi inanisuta

Am feeling guilty, nafsi inanisuta

samuel faraj

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2013
Posts
1,326
Reaction score
1,266
Kwema wana JF,

Najihisi mwenye makosa sana sina amani.

Iko hivi nimekua kwenye mahusiano na my girl for almost 3.5 years now, tumefanya mambo mengi sana kwenye relationship yetu na nimemsaidia vitu vingi pia.
 
Mwambie hii story uliyotueleza hapa, mwenyewe atajiongeza. Itamuuma lakini mwisho wa siku maisha yataendelea. Ila na wewe jiandae kulipa machozi atakayolia maana ulijua tangu mwanzo kuwa humpendi ila unapita tu kwake!
 
Mwache haina shida sababu kabla yako alikuwa na mahusiano mengi na anajua uchungu wa kuachwa.....maskini labda we ndo mwanaume wake wa kueleweka waliopita wote wahuni tupu
 
Mwambie hii story uliyotueleza hapa, mwenyewe atajiongeza. Itamuuma lakini mwisho wa siku maisha yataendelea. Ila na wewe jiandae kulipa machozi atakayolia maana ulijua tangu mwanzo kuwa humpendi ila unapita tu kwake!
Yaani kuna vitu huwa navishangaaga sana kwenye mahusiano mpaka nabaki nachekaga tuu kwa huzuni....aiseee!!!!
 
Mwambie hii story uliyotueleza hapa, mwenyewe atajiongeza. Itamuuma lakini mwisho wa siku maisha yataendelea. Ila na wewe jiandae kulipa machozi atakayolia maana ulijua tangu mwanzo kuwa humpendi ila unapita tu kwake!
ndio nafsi inanisuta sana aisee Mungu anisamehe
 
Wakati unampakia hauombi ushauri, wakati wa kudrop baada ya kufunua na kufunika una feel guilty na maneno meengi ya kiingereza.

Be a man
Koh! Koh! Koh! Samahani mkuu maneno yako yamenipalia
 
Back
Top Bottom