Alx software engineering programme

Step_Rocker

Senior Member
Aug 31, 2021
197
323
Siku hizi kumekua na ongezeko kubwa la programming bootcamps ambazo hutoa mafunzo ya programming, lakini nyingi kama sio zote hutoa mafunzo kwa bei kubwa huku wakihakikisha uhakika wa ajira baada ya mafunzo yao.

Zingine zinatoa mafunzo bure na kukutafutia connection za ajira na malipo ni baada ya kupata ajira hio mfanowe ni kama;

-->Microverse
-->Holberton university.
na nyinginezo uki-google unaweza pata taarifa zaidi. Sasa kuna hii software engineering programme inatolewa na Alx wakishirikiana na Holberton university, ikiwalenga vijana wa Africa kati ya miaka 18-35.

Programme inafanyika ndani ya mwaka mzima marrra baada ya kujiunga na ni bure kabisa. Vitu wanavyohitaji kutoka kwa anayetaka kujifunza.
  • 12 months, 70 hours/week
  • English proficiency
  • Access to a desktop or laptop
  • No prior programming experience required, in-course assessment
  • Commitment and determination
Je unadhani inaweza kua fursa kwa vijana kujiboresha kwenye programming ikiwa hasa imejikita kwa vijana wa Africa kwenye teknolojia.

 
umeeleza vizuri ila tatizo ni huyu.


IMG_0789.jpg
 
Mweh!!usinambie,mbona ni jambo jema tuu,sasa huyo kwenye picha hapo juu anahofiwa kwanini eti,sijaelewa??
Sio kwamba anahofia ila tu ni kwamba material zao ni heavy duty hivyo inakugharimu usome 10 hours daily

Sasa kama umeajiriwa au unabiashara hutaweza maana masaa au muda wako mwingi utaliwa unless uwe unalala 4 hours or less in a day

Pia inahitaji kichwa kilaini uweze kumeza na kuelewa hivi vitu

Pamoja na mtaji wa bando mxuri wa 5000 au zaidi daily

Pamoja na ufuatiliaji wa kina na kufanya daily test zao

Ndo maana mtoa mada kanywea 😹😹😹 hata Mimi nilinywea
 
Sio kwamba anahofia ila tu ni kwamba material zao ni heavy duty hivyo inakugharimu usome 10 hours daily

Sasa kama umeajiriwa au unabiashara hutaweza maana masaa au muda wako mwingi utaliwa unless uwe unalala 4 hours or less in a day

Pia inahitaji kichwa kilaini uweze kumeza na kuelewa hivi vitu

Pamoja na mtaji wa bando mxuri wa 5000 au zaidi daily

Pamoja na ufuatiliaji wa kina na kufanya daily test zao

Ndo maana mtoa mada kanywea 😹😹😹 hata Mimi nilinywea
Ooh!muda ninao,sema mshikemshike ni 5000 bando kila siku.ni lazima uwe na desktop au laptop pekee,mobile haiwezekani??
 
Ooh!muda ninao,sema mshikemshike ni 5000 bando kila siku.ni lazima uwe na desktop au laptop pekee,mobile haiwezekani??
Kwa mobile ni changamoto sana labda kama unasimu yenye interface nzuri lasivyo pc ni muhimu sana mkuuu

Maaana kuna mambo ya programming na web designing na sql systems zote hizo zinataka practical za kwenye desktop au pc

Ningeshauri uwe na laptop tu mobile si vixuri kwenye mambo haya

Na bando hapo ukibania sana itakukula 3k daily

Maana wana magroup yao Whatsapp kama 2 na members 500 each pia
Wana magroup kwenye app ya slack
Hivyo ni kazi kweli inataka unlimited bundle

Ila ukifocus unatoboa tu
 
Kwa mobile ni changamoto sana labda kama unasimu yenye interface nzuri lasivyo pc ni muhimu sana mkuuu

Maaana kuna mambo ya programming na web designing na sql systems zote hizo zinataka practical za kwenye desktop au pc

Ningeshauri uwe na laptop tu mobile si vixuri kwenye mambo haya

Na bando hapo ukibania sana itakukula 3k daily

Maana wana magroup yao Whatsapp kama 2 na members 500 each pia
Wana magroup kwenye app ya slack
Hivyo ni kazi kweli inataka unlimited bundle

Ila ukifocus unatoboa tu
Sawa.na kozi ni hiyohiyo tu ya software eng? Hakuna kozi za data mf.data analysis,data science,database admin etc
 
Back
Top Bottom