Wadau please tusaidie kuweka data (CV) ya huyu wakili Alute Mughwai wa wapinga rufaa ya Lema!
Wadau please tusaidie kuweka data (CV) ya huyu wakili Alute Mughwai wa wapinga rufaa ya Lema!
Hahahaa, huyu jamaa amepigania jana kifungu cha Mhuri tu.
Pamoja na Jaji Mkuu kumuelewesha, bado aliendelea kupinga vikali.
Walipompa za usoni kuwa kama HUKUMU haina Mhuri, basi Lema bado ni Mbunge, akanywea!!!
Mtetez wa haki za wanyonge,anayepigania maslahi ya watu wa Arusha kutokuongozwa na Tapeli, mhuni,mwiz wa magari,na asiyekuwa na busara hata chembe!!!!!!
Mtetez wa haki za wanyonge,anayepigania maslahi ya watu wa Arusha kutokuongozwa na Tapeli, mhuni,mwiz wa magari,na asiyekuwa na busara hata chembe!!!!!!