Ndo izo izoWadau naomba kujua aluminium profile zinazotumika kutengeneza milango na madirisha
Unataka kujua nini hasa, hapa tanzania zinapatikama zenye unene wa 8cm na 12cm lakini ambazo ni common ni 8cm na rangi zilizopo ni nyeusi, bronze, rangi ya mbao na silver.Wadau naomba kujua aluminium profile zinazotumika kutengeneza milango na madirisha
Unataka kujua nini hasa, hapa tanzania zinapatikama zenye unene wa 8cm na 12cm lakini ambazo ni common ni 8cm na rangi zilizopo ni nyeusi, bronze, rangi ya mbao na silver.
Brands ni nying kuna fomeka, BN high quality, Emirates, na nyingine nyingi tu.
kama una swali la ziada uliza
Kulia vertical line zote tatu za mlango then ukianzia kulia kurudi kushto mtari wa kati ya pili pia ni mlango, zilizobaki zote dirisha, unatambua kwa jinsi zilivyotengeneza kuna Cill, Jam, mosquito, top, plain, hook zote hizi za dirisha, mlango una outer/Bottom, T, bidding, na Z.View attachment 977318
AU katika hizo hapo, ipi ni kwa ajili ya madrisiha na ipi ni kwa milango?
Shukran kwa ufafanuzi MkuuKulia vertical line zote tatu za mlango then ukianzia kulia kurudi kushto mtari wa kati ya pili pia ni mlango, zilizobaki zote dirisha, unatambua kwa jinsi zilivyotengeneza kuna Cill, Jam, mosquito, top, plain, hook zote hizi za dirisha, mlango una outer/Bottom, T, bidding, na Z.
So unazitambua kwa kuzitazama tu kwa jinsi zinavyoungwa upana wake na hayo meno na shape zake.
Iwe dubai au emirates au whatever the case zinafanana labda utakuta moja ina rangi inangáa zaidi ya nyingine na nyingine ina kishape kizuri kidogo
Wataka kuimport hizi mambo nini mkuu?Shukran kwa ufafanuzi Mkuu
Hizo profiles zinakuwa na urefu wa inchi ngapi au futi au sentimeta ngapiKulia vertical line zote tatu za mlango then ukianzia kulia kurudi kushto mtari wa kati ya pili pia ni mlango, zilizobaki zote dirisha, unatambua kwa jinsi zilivyotengeneza kuna Cill, Jam, mosquito, top, plain, hook zote hizi za dirisha, mlango una outer/Bottom, T, bidding, na Z.
So unazitambua kwa kuzitazama tu kwa jinsi zinavyoungwa upana wake na hayo meno na shape zake.
Iwe dubai au emirates au whatever the case zinafanana labda utakuta moja ina rangi inangáa zaidi ya nyingine na nyingine ina kishape kizuri kidogo
Kupata ABC kabla ya kufanya chochoteWataka kuimport hizi mambo nini mkuu?
MM 5800Hizo profiles zinakuwa na urefu wa inchi ngapi au futi au sentimeta ngapi
wamaanisha ni mita tano na sentimeta themanini siocm5800
yes ni mita 5.8wamaanisha ni mita tano na sentimeta themanini sio
Ili uweze kutengeneza madirisha/milango ya aluminium unatakiwa uwe na vifaa /machine zipi mkuu?Kulia vertical line zote tatu za mlango then ukianzia kulia kurudi kushto mtari wa kati ya pili pia ni mlango, zilizobaki zote dirisha, unatambua kwa jinsi zilivyotengeneza kuna Cill, Jam, mosquito, top, plain, hook zote hizi za dirisha, mlango una outer/Bottom, T, bidding, na Z.
So unazitambua kwa kuzitazama tu kwa jinsi zinavyoungwa upana wake na hayo meno na shape zake.
Iwe dubai au emirates au whatever the case zinafanana labda utakuta moja ina rangi inangáa zaidi ya nyingine na nyingine ina kishape kizuri kidogo
Mashine ya kukata profiles ni sawa na zile mashine za kukata angle za mbao kwa 45 degrees, meza, drill, na screw drivers bass ndo muhimuIli uweze kutengeneza madirisha/milango ya aluminium unatakiwa uwe na vifaa /machine zipi mkuu?
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji15] [emoji15] nashukuru mkuu,nilidhani kuna heavy machines zinatumika. Unaweza ukanitajia bei ya hivyo vifaa (hata kwa kukadiria mana najua bei lazima zitatofautiana kulingana na location)Mashine ya kukata profiles ni sawa na zile mashine za kukata angle za mbao kwa 45 degrees, meza, drill, na screw drivers bass ndo muhimu
Kuna brand nyingi na bei zinatofautiana hizo mashine za kukata profiles kuna za lak 3, 6, 8, 1.2 mpaka 2, drill kuna za 50000 mpaka 300000. drill kuna za kutobolea profile na kutoboa ukuta mna kutindua. hizo mashine za lak 3 znaungua haraka[emoji15] [emoji15] nashukuru mkuu,nilidhani kuna heavy machines zinatumika. Unaweza ukanitajia bei ya hivyo vifaa (hata kwa kukadiria mana najua bei lazima zitatofautiana kulingana na location)
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji120] [emoji120] [emoji120] nashukuru mkuu, ubarikiwe sanaKuna brand nyingi na bei zinatofautiana hizo mashine za kukata profiles kuna za lak 3, 6, 8, 1.2 mpaka 2, drill kuna za 50000 mpaka 300000. drill kuna za kutobolea profile na kutoboa ukuta mna kutindua. hizo mashine za lak 3 znaungua haraka
Hivi Mkuu/wakuu, kati ya aluminium za emirates na Dubai ipi ni chuma bora? Na kwa nini?Unataka kujua nini hasa, hapa tanzania zinapatikama zenye unene wa 8cm na 12cm lakini ambazo ni common ni 8cm na rangi zilizopo ni nyeusi, bronze, rangi ya mbao na silver.
Brands ni nying kuna fomeka, BN high quality, Emirates, na nyingine nyingi tu.
kama una swali la ziada uliza