sweya lugendo
Member
- Dec 7, 2013
- 56
- 22
Mwenyekiti wa chadema Mkoa wa Geita juzi alisema kitendo cha serikali kufanya maboresho ya daftari la mkazi kimya kimya na kwa maelekezo ya ccm ni upuuzi na kuwafanya wapinzani ni wajinga kupita kiasi.Mawazo aliyasema haya wakati anahitimisha ziara ya mkoa juzi iliyojumuisha majimbo sita ya mkoa huo."nimesikitishwa sana kuona eti zoezi limefika ukingoni bila ya wananchi kutangaziwa na combo chochote cha habari,wakurugenzi kwa kuamrishwa na waziri mkuu wanatumia mabalozi wa ccm kufanya zoezi la serikali.Wanabagua nani aandikishwe na nani adiandikishwe kwa kutazama itikadi,huu ni uchokozi na kutafuta fujo na vurugu kubwa,tuko tayari kupigania haki hii ya wananchi"alisema Mawazo ambaye yuko tayari uchaguzi uvurugike kuliko kukubali hujuma na dhuluma hiyo.