Augustine Moshi
JF-Expert Member
- Apr 22, 2006
- 2,556
- 1,394
Hatutaki kuona tena foleni za mabasi na magari madogo toka Tanzania yakipeleka watoto Kenya na Uganda ili wakasome. Shule nzuri na elimu nzuri vinapatikana hapa Tanzania sasa, kwa gharama zinazolingana na kupeleka hao watoto Nairobi au Kampala. Lipi bora: wasome hapa kwa gharama kubwa au tupate aibu ya kuwasomba kila muhula kuwapeleka Kenya au Uganda wakasome kwa ghrama kubwa vile vile? Maana lazima wasome shule nzuri. Ni hiari yao, na kama hupendi hizo shule hulazimishwi.