Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 31,531
- 65,292
Wahalifu wakubwa nyie...huyo jamaa alipaswa apakuliwe
Wewe communication codes zako na mchepuko wako zikoje?
Wahalifu wakubwa nyie...huyo jamaa alipaswa apakuliwe
kwann wanakubali kuwa na m/mme mwngine km wao wakishaolewa wanakuwa sumu ?
Ni story nzuri kwa wale wanaoingia kwenye game.
Kwani hawakuwa na communication codes? Anyway we learn through trials and errors with millions of miscalculations.
asante aiseePole sana.
how can we proof kama kweli hawajakuoa?
Shikamoo Babu DC
Sijambo mkuu. Kura tunapiga?
Of course mkuu.......na ushindi tunachukua kama ilivyo kawaida yetu.
Hata hivo jamaa ana huruma hadi akawaza "kukupaka mafuta" pole lakini na hongera kwa kunusurika kuliwa kalio
Bila mafuta madame inakuaje..tuadithie