mr bean angekuwa kijana nage act hiyo pia
polee ndio ukubwa huo
Ningeshika upande wa kanga halafu ningerudi kinyumenyume kwenda kumfunika.
Sintorudia.
Lakini kwa nini chumba cha hg wako uingie hata kama ni dharura kwa nini usimwamshe shem kama ulikuwa huna nia mbaya na huyo hg wako
Utastukia tu tayari,amini usiamini.Aah wapi!