Kwa kipaji alichonacho na uzoefu wake alistahili kuendelea kuwepo katika international level na si kukaa pale Bamboo bar akiokoteza vihabari uchwara vya Mambo Mseto.....
Kwa kipaji alichonacho na uzoefu wake alistahili kuendelea kuwepo katika international level na si kukaa pale Bamboo bar akiokoteza vihabari uchwara vya Mambo Mseto.....
moshi si mji wa kukufanya uwe na strategic planning...kitimoto, kibia na nyama choma siku imekwenda! vikao vyao watu wale wale tu mambo ya maniyuuuu na asenoooo. mji hauna changamoto