Mtu asome IFM na pia ana masters unasema ajasoma unadhani kwa nini aliacha mpira mapema ukisikia mcheza mpira unadhani wote shule hawajaenda mazee..Uongozi ni zaidi ya simba na yanga nyie wafia timu.! Wachezaji wengi wa zamani hawajasoma kwahiyo mpira wa kisasa una mikutano mingi tu nje ya nchi ! Huyo ally mayai anaenda kuongea nini huko nchi za watu mtu hata English hajui
Ma mama wa kambo mna gubuUongozi ni zaidi ya simba na yanga nyie wafia timu.! Wachezaji wengi wa zamani hawajasoma kwahiyo mpira wa kisasa una mikutano mingi tu nje ya nchi ! Huyo ally mayai anaenda kuongea nini huko nchi za watu mtu hata English hajui
Tff sio ya waungereza ni y washahili!.Uongozi ni zaidi ya simba na yanga nyie wafia timu.! Wachezaji wengi wa zamani hawajasoma kwahiyo mpira wa kisasa una mikutano mingi tu nje ya nchi ! Huyo ally mayai anaenda kuongea nini huko nchi za watu mtu hata English hajui
Mayay ni kiongozi mzuri sana hata mara zote amekuwa akipigwa figisu juu kwa juu na vibaraka wa Msomali, Afu wewe Kolomnyelo Tenga alikuwa nani na akaongoza TFF!?Utopolo aongoze TFF???
Hebu nikumbushe lini na nafasi ipi mkuu!?Ali Mayay alishakuwa kiongozi yanga akajiuzulu, Kama yanga ilimshinda TFF ndio ataweza.
Hv unamjua ally mayai au unaropoka tu?Uongozi ni zaidi ya simba na yanga nyie wafia timu.! Wachezaji wengi wa zamani hawajasoma kwahiyo mpira wa kisasa una mikutano mingi tu nje ya nchi ! Huyo ally mayai anaenda kuongea nini huko nchi za watu mtu hata English hajui
Ally Mayai shule ipo kuanzia familia yao,kaka yake ni Balozi wa Tanzania nchini Indonesia.Uongozi ni zaidi ya simba na yanga nyie wafia timu.! Wachezaji wengi wa zamani hawajasoma kwahiyo mpira wa kisasa una mikutano mingi tu nje ya nchi ! Huyo ally mayai anaenda kuongea nini huko nchi za watu mtu hata English hajui
Ndo maana juzi alikuwa anajipia pande humu juzi kwa ID bandia?Nyota wa zamani wa Yanga Sc na timu ya Taifa,Taifa Stars, Ally Mayay Tembele ametangaza nia ya kushiriki uchaguzi mkuu wa TFF mwaka huu kama mgombea nafasi ya Urais wa Shirikisho hilo unaotarajiwa kufanyika Agosti 16, 2025 Jijini Tanga.
Mwakilishi wa nahodha huyo wa zamani wa Stars atamchukulia fomu hiyo hii leo mchana tayari kwa kugombea nafasi hiyo kwenye uchanguzi mkuu wa Shirikisho la Soka nchini TFF.
Kwa hiyo kila mwanachama humu akimwelezea au kumsifia mtu fulani inakuwa ni ID ya mlengwa?Ndo maana juzi alikuwa anajipia pande humu juzi kwa ID bandia?
Ally anaenda kutema yaiUongozi ni zaidi ya simba na yanga nyie wafia timu.! Wachezaji wengi wa zamani hawajasoma kwahiyo mpira wa kisasa una mikutano mingi tu nje ya nchi ! Huyo ally mayai anaenda kuongea nini huko nchi za watu mtu hata English hajui
Ndio alikuwa anajipakulia minyamaKwa hiyo kila mwanachama humu akimwelezea au kumsifia mtu fulani inakuwa ni ID ya mlengwa?
Kweli kabisa tunakula naye sahani Moja.Safari hii msomali lazima aondoke ule uhuni wa kuengua wanaompinga safari hii haupo
Unge andika barua kama hii march 8 ningekuona wa maana sana kwabsababu waziri shabiki la kolo alipiga simu ihairishwe derby,hapo serikali haikuingilia mpira?[Jina lako]
[Anwani yako kamili]
[Simu: +255 XXX XXX XXX]
[Barua Pepe: jina@example.com]
Tarehe: [Weka tarehe ya leo]
Kwa:
Rais wa Shirikisho la Soka Duniani (FIFA)
Fédération Internationale de Football Association (FIFA)
FIFA-Strasse 20,
P.O. Box 8044 Zurich,
Switzerland.
YAH: MAOMBI YA UCHUNGUZI DHIDI YA TFF KUHUSU MINGILIANO YA SERIKALI YA TANZANIA KATIKA MASUALA YA MPIRA
Mheshimiwa Rais wa FIFA,
Napenda kuchukua fursa hii kukuandikia kwa heshima kubwa, nikiwa kama raia wa Tanzania na mpenzi wa soka, kwa lengo la kuomba Shirikisho lako tukufu lifanye uchunguzi huru na wa kina dhidi ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), kuhusu kile kinachoonekana kama mingiliano ya moja kwa moja ya serikali ya Tanzania katika masuala ya ndani ya soka.
Kwa mujibu wa kanuni na katiba ya FIFA, mashirikisho ya soka yanatakiwa kuwa huru bila kuingiliwa na mamlaka ya serikali. Hata hivyo, hali nchini Tanzania hivi karibuni imeonyesha tofauti kubwa na miongozo hii.
Mfano halisi ni mgogoro uliotokea kwenye mchezo namba 184 wa Ligi Kuu Tanzania Bara kati ya klabu ya Yanga SC na Simba SC, ambao uliibua mvutano mkubwa wa kiuendeshaji, na hatimaye, uongozi wa vilabu hivyo uliitwa ikulu (ofisi ya rais) kwa ajili ya kusuluhishwa, badala ya suala hilo kushughulikiwa na vyombo vya ndani vya mpira kama TFF au kamati husika.
Aidha, mgogoro wa usajili wa mchezaji Feisal Salum "Fei Toto" ambaye alihamia klabu nyingine huku kukiwa na utata wa kimkataba, pia ulimalizwa kupitia uingiliaji wa moja kwa moja wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, badala ya kufuata taratibu za kitaaluma na kitaasisi zinazopaswa kuendeshwa na TFF au FIFA kupitia Kamati ya Usuluhishi wa Migogoro ya Usajili.
Matukio haya yanaashiria wazi kuwa uhuru wa TFF katika kuendesha soka nchini Tanzania umeathiriwa, na vyombo vya serikali vinaonekana kuwa na ushawishi mkubwa katika maamuzi ambayo kimsingi yanapaswa kuwa ya kitaalamu, huru na yanayozingatia katiba ya FIFA.
Kwa misingi hiyo, naomba FIFA ifuatilie na kuchunguza hali hii kwa ukaribu, ili kulinda uhuru wa shirikisho letu la mpira na kuhakikisha soka linaendeshwa kwa kufuata misingi ya haki, sheria, na miongozo ya kimataifa.
Tuna matumaini makubwa kuwa FIFA haitasita kuchukua hatua stahiki endapo itabainika kuwa kuna ukiukwaji wa misingi ya utawala bora wa michezo.
Nashukuru kwa muda wako na kwa uongozi wako wa haki kwa maendeleo ya soka duniani.
Wako kwa dhati,
[Jina lako kamili]
[Mashabiki/Mpenzi wa Soka Tanzania]
---
Nakala kwa:
Rais wa CAF (Confederation of African Football)
3 Abdel Khalek Tharwat Street, El Hay El Motamayez,
6th October City, Giza, Egypt.
Sikumbuki Ila ni taarifa sahihi ngoja nifatilieHebu nikumbushe lini na nafasi ipi mkuu!?
Mwaka 2012 alijiuzulu ujumbe wa kamati ya utendaji yanga, baadae ulipoitishwa uchaguzi mpya akataka kugombea akaenguliwa na kamati ya uchaguzi .Hebu nikumbushe lini na nafasi ipi mkuu!?
Degree ndio nini mzee ?? Kuna watu wana degree hata kuongea Kinge dk 2 tu haweziAlly Mayai ni degree holder.
Katika vitu mwenyezi Mungu ajakubariki ni akili.Degree ndio nini mzee ?? Kuna watu wana degree hata kuongea Kinge dk 2 tu hawezi