tikakami wa lopelope
JF-Expert Member
- Oct 17, 2017
- 1,377
- 674
Kumbe kigamboni na dar ni sehemu mbili tofauti , nilikuwa najua kigamboni iko dar.....mhmm
Kumbe na wewe sentensi zako wa anzisha na word kumbe.
Kumbe kigamboni na dar ni sehemu mbili tofauti , nilikuwa najua kigamboni iko dar.....mhmm
sawa mkuu.Pambana utapewa ukatibu tarafa
hahahahahahahhahaHata Kata nitapokea nia yangu sio kuhudumu kwa maneno naamini vitendo ndio njia rahisi kumkomboa mwananchi
Andika vizur ueleweke aisee.Kumbe na wewe sentensi zako wa anzisha na word kumbe.
Yericko aliwahi kusema alikimbia kwa mguu toka Kigamboni hadi Dar
makosa kama haya huwa yanapunguza umakini wa kusoma mada iliyo mezani
Dar ni pale askari monuments kigamboni ni pale feriyawezekana labda kigamboni hawaijawa sehemu ya dar, je lini kipindi hicho....?
Haaaaa haaaaa Vijana na NjaaAliyeandika ni majeruhi... kakipigania chama kwa kutaka alipwe cheo. Kimebuma. Anamuonea wivu Hemedi, anajiona kaachwa. Anawaangalia kina Malisa na Yeriko anadhan wanakipigania chama kwa njaa kama yeye...
na ndo lengo la mleta mada!!!Aliyeandika ni majeruhi... kakipigania chama kwa kutaka alipwe cheo. Kimebuma. Anamuonea wivu Hemedi, anajiona kaachwa. Anawaangalia kina Malisa na Yeriko anadhan wanakipigania chama kwa njaa kama yeye...