Mkalukungone Mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 2,450
- 5,278
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Umoja wa Wazazi CCM, Ally Hapi amesema ripoti ya CAG sio hukumu ya Mahakama kwamba wanaotajwa wote moja kwa moja huwa ni Mafisadi au Wezi bali ripoti husomwa kisha kuwapa nafasi Watumishi na Taasisi kutoa vielelezo ambavyo havikuwasilishwa wakati wa ukaguzi.
Akiongea leo June 22,2025 wakati wa mjadala wa Cafe Talk, Ally Hapi amesema “Kwanza taarifa ya CAG Watu wengi wakisikia inasoma wanadhani ni hukumu ya Mahakama kwamba wafuatao sasa wamekutwa na wizi na ufisadi hapana”
“CAG anakagua, akishakagua kule kuna Watu wanaambiwa lete risiti na vielezo ukichelewa yeye anaandika fedha hizi vielelezo vyake havikupatikana ndio maana ripoti anaikabidhi kwa Rais na inapelekwa Bungeni ili kuzipa Taasisi zilizotajwa na mapungu kuclear mapungufu ndio maana sisi tuliokaa Serikalini kuna kitu kinaitwa kufanyia kazi hoja za CAG”
Akiongea leo June 22,2025 wakati wa mjadala wa Cafe Talk, Ally Hapi amesema “Kwanza taarifa ya CAG Watu wengi wakisikia inasoma wanadhani ni hukumu ya Mahakama kwamba wafuatao sasa wamekutwa na wizi na ufisadi hapana”
“CAG anakagua, akishakagua kule kuna Watu wanaambiwa lete risiti na vielezo ukichelewa yeye anaandika fedha hizi vielelezo vyake havikupatikana ndio maana ripoti anaikabidhi kwa Rais na inapelekwa Bungeni ili kuzipa Taasisi zilizotajwa na mapungu kuclear mapungufu ndio maana sisi tuliokaa Serikalini kuna kitu kinaitwa kufanyia kazi hoja za CAG”
