samhong lee
Senior Member
- Nov 25, 2017
- 158
- 144
Bananga anaakili ya kujitosheleza mpaka ccm imuwaze ???
takukuru hawataki ushahidi wa upinzaniHebu atueleze walimfata kumhonga? Walimwahid nn na nn?
Ili hizi hadithi za kuhongana zifike kikomo.
Takukuru fuata huyo akupe ushahidi alivyohongwa akakataa
Unahanya maana mnawajua wauwajiHa ha ha haaaaa
Abaki alipo kwasababu wauaji wapo nae huko huko.
we zisizo pumba ziko wapi akili yako imekamatwa na wengine nawe unatumia masaburi kufikiri na kujibu hojaNa siku akipanda jukwaa la kijani uje uteletee hizi pumba tena!
kwani hao mnaowanunua wanaongeza nn,hizi akili za kimasaburi hizi,yaani unajibu hoja as if std 4 kumbe una elimu yako nzuri tuAlafu akija CCM anaongeza nini?
Low level of understanding is ur main problemHa ha ha haaaaa
Abaki alipo kwasababu wauaji wapo nae huko huko.
Na
Low level of understanding is ur main problem
Unahanya maana mnawajua wauwaji
Ndiyo tunataka wanaume kama hawa.Well said
N babako tu anaweza kukataa huo ukwelNi makarai tu wanaweza kuamini huu uongo
MAWAZO ALIUAWA NA MAKADA WA CCM! HAKUNA UBISHI. hiyo stori ya jikoni unayoleta haitaiva ni uongo! Ok Na waliompiga lissu waliogombania mademu!! Saa nane alifichwa na vijana wenzake waliokuwa masomoni pamoja Endelea kupika leta nyanya na vitunguu!! lakini mkaa hautoshi!! Plain stupidity!!!Wafanyabiashara wadogowadogo wa madini wanakuwa na mambo mengi sana na mengine ni ya hovyo yanayotokana na kuzurumiana au vinginevyo. Mawazo alikuwa mfanyabiashara wa madini na baada ya kuuliwa kuna watu(wafanyabiashara wa madini) walikamatwa wakituhumiwa kushiriki kifo chake,sina hakika muendelezo wa hiyo kesi upoje. Lakini Chadema wamechukulia kifo kile kuwa mtaji wa kisiasa kwa kuihusisha CCM na serikali yake kwa dhamira ya kuuhadaa umma ambao hauyajui mazingira ya kifo cha Mawazo.
Asante sana waeleze hao wenye mioyo ya nyokaone b: Hiyo kauli uliyoisema kama kweli wewe ni binadamu utaijutia siku moja. Mbona hata mzee wako aliendelea kununua wapinzani badala ya kwenda kupokea na kushiriki maziko ya hao wanajeshi wetu?
.....Stupidest commentDuu..nilitegemea atatoa pole kwa vifo vya wanajeshi wetu...kumbe anaongelea mtu ambaye hata funza washapiga mswaki...
ipo siku nawe funza watakupiga mswaki jaribu kuwa na roho ya utu mawazo naye ni binadamu kama hao wanajeshi.Duu..nilitegemea atatoa pole kwa vifo vya wanajeshi wetu...kumbe anaongelea mtu ambaye hata funza washapiga mswaki...
Una uelewa mdogo wa maswaala madogoKwahiyo unafikiri ulivyo rairi bovu basi na mie kama wewe.. eeeeeeh
Jaribu lingine
Na ww utakufa tu tena namuomba mungu akudharirishe pindi utakapo kufa liuwaji likubwa usiye na huruma kwasababu ya siasa tu ndio kunakutoa utu na ubinadamuDuu..nilitegemea atatoa pole kwa vifo vya wanajeshi wetu...kumbe anaongelea mtu ambaye hata funza washapiga mswaki...