Kana-Ka-Nsungu
JF-Expert Member
- Oct 4, 2007
- 2,257
- 353
Kuna tetesi kwamba Allan Shearer atapewa kibarua cha kuinoa Newcastle United hadi mwisho wa msimu huu baada ya Joe Kinnear kufanyiwa operation na kushindwa kurudi kazini mapema kama ilivyokuwa imetarajiwa hapo mwanzoni.