Lovelovie
JF-Expert Member
- Oct 2, 2021
- 11,080
- 22,539
Nuzu kumbuka alianza yeye kunitukana mim nikawa kimya. Akaanza kujinadi kabisa ni kama mim nilikua kwenye mahusiano nae.Tena umenikumbusha na uzi alifunguliwa eti leo lovie ni wa kumsema vile kaka yetu nalia huku π
Tena alikua anaongea ooh sijui choko sijui nin.