Toba! King'asti huyo huzbend unayemzungumzia ni nani tena? Hebu funguka nikusome vizuri. Bahati mbaya huwa situnzi manyoya. Kuhusu kufunguka kuwa na subira niko bizeri sana kama unavyoona humu kuna status ambazo kwenye form hatukuziweka hivyo kazi ni ngumu.
Toba! King'asti huyo huzbend unayemzungumzia ni nani tena? Hebu funguka nikusome vizuri. Bahati mbaya huwa situnzi manyoya. Kuhusu kufunguka kuwa na subira niko bizeri sana kama unavyoona humu kuna status ambazo kwenye form hatukuziweka hivyo kazi ni ngumu.
Ni-PM mimi status yako basi MwaJ,
Nlishawahi kupitiaga mdada wa jina hili hapo kabla,
Maujuzi yalikuaga balaa, you sound to posses same skills with your wajina!!
Ni-PM mimi status yako basi MwaJ,
Nlishawahi kupitiaga mdada wa jina hili hapo kabla,
Maujuzi yalikuaga balaa, you sound to posses same skills with your wajina!!
Nakataa Shark,
Ina maana Kaka hawezi kutafuta through Jukwaa la Siasa au Mk?
Anaweza ampate humu MMU lakini asiwe mzoefu,
maana wengi twapita kila mahala ku-Comment na mbaya zaidi twatumia Fake ID,Fake Avatar na mbaya kuliko zote waweza kujikuta unam-PM He mwenzio ukijua ni She ukajikuta umelamba Garasa!!!
Kwani wewe unaongeaga na wanaume wangapi? Hii ngoma ingine mamito, nitakurudisha kijijini ukiwa jembe la mkono kama sio ng'ombe ya kulimia. Wewe endelea tu!
Toba! King'asti huyo huzbend unayemzungumzia ni nani tena? Hebu funguka nikusome vizuri. Bahati mbaya huwa situnzi manyoya. Kuhusu kufunguka kuwa na subira niko bizeri sana kama unavyoona humu kuna status ambazo kwenye form hatukuziweka hivyo kazi ni ngumu.