Holly Rich
JF-Expert Member
- Nov 1, 2018
- 901
- 1,429
Divorced Mvivu Kufua Elimu Kiduchu 4 Kids.. Hela za Kuungaunga... If Interested Welcome Pm... Only God knows the Destiny of His Peoplesalaam.
Ama kweli wanaume smart wanao jitambua wanaojua thamani ya mwanamke, wote wameoa. inasikitisha sana.
Hivi inawezekana vipi kila mwanaume anae onesha interest kwangu nikamuelewa nikija kumcheki kidoleni nakutana na pete? hivi ni mimi tu au na wanawake wengine wanakutana na changamoto hii?
Wakuu, sio kwamba wanaume waoaji hawapo, wapo tena wengi sana tatizo ni je huyo anaekuja moyo umempenda? mtu wa kuishi nae lazima moyo umpende.
Je ina maana wakaka ambao hamjaoa ni kweli kwamba hamna sifa kama za hawa married men? kweli hampo?
Nimekuja hapa kusema la moyoni na si kwamba huku ninapoishi hakuna wanaume, wanaume wapo ila wengi wao wameoa, ambao hawajaoa unakuta moyo haujampenda.
Umri umeenda ninahitaji kuwa na familiya ambayo nitakuwa huru nayo bila lawama. Niwe wazi kuna mtu yupo tiyari kwenda kwetu hata leo tatizo ni mme wa mtu. ana kila sifa ya mwanaume ninaemtaka lakini tatizo ndo hilo. Sijaingia mahusiano nae kwa sababu zifuatazo:,
1: Nitamwambia nini mama?
2: Namuogopa Mungu,
3: Familiya yake wakijua nitafanyaje mimi?
4: Nitakosa raha ya kuwa nae huru, nitakosa raha ya kuwa karibu na ukweni ( mbaya sana)
5: Nitalaumiwa na jamii etc
Hivyo basi nikaona siwezi hiki kiwanja chenye mgogoro, I deserve to have my own family:
Wewe mwanaume,
1) umri 37-45
2) mkristo mcha Mungu ukiwa RC itapendeza
3) Mchapa kazi haswaaa, mtafutaji kama mimi ( staki mwanaume anaelialia yeye kila siku hana hela lawama haziishi huyu hapana)
4) Anajipenda na anapenda kuishi maisha safi
5) mrefu
6)caring person, etc
Kama una hizo sifa njoo pm.
hakuna mtu asiependa vitu vizuri, hakuna asiependa mafanikio, ndo maana nimekuja hapa maybe nikakutana na mtu ambae tunaendana.
Kuhusu mimi,
1: age 35 ndo maana natafuta mzee mwenzangu.
2) sina mtoto, sijawahi kuolewa ila mwanaume huyo akiwa na mtoto mmoja na hana mgogoro na mzazi mwenzie mtamlea coz I like kids.
3) Elimu chuo kikuu
4) Kazi ninayo
5) kinywaji situmii
6) Rangi , rangi safi ya kati situmii mikorogo
7) Dini RC
8) mchapa kazi haswaa with brain.
Mume wangu nimechoka kukusubiri, nimekufuata huku nisije angukie mikononi mwa mme wa mtu. tho ana kila kitu ninachokitaka lakini nikikumbuka mme wa mtu sumu nalia, usichelewe plz nina muda mchache wa kufanya maamuzi.
GOD BE WITH YOU.
Mwambieni mwehu huyo😅 na wale wanaotaka vya kunyonga ready made wa tall handsome and black with money.., we uliskia wapi???Kuna msemo kua waume za watu smart huwa wanatengenezwa na wake zao. Pia kuna baadhi ya nyuzi humu wanaume wanakiri baada ya kukutana na mkewe tabia a,b,c kaziacha.
Sasa mkuu kupata mwenye izo sifa zote sio rahisi, mpate wa kwako ambae labda unaweza kuvumilia madhaifu yake na labda anaweza badilika akiwa na wewe.
Utakuja kuuawa kudandia waume za watu hujui mke kapitia mangapi mpaka mumewe awe hivyo alivyo.
Na kua makini umri huo kuchezewa si busara.
Hahahahahah hata mie naona kuna swala mtambuka katika “Caring Person” amelipaka icing sugars 😅😅😅 inatakiwa aliseme wazi wazi bila kificho ili ata mama mkwe Espy aweze kufurahiaHapo kwenye sifa ya "Caring person" Kuna kitu unajaribu kuficha ficha.
Hebu nyoosha maelezo vizur[emoji4]
Waziri alisema kumchamba mtu ni kosa! Mie siwezi kuvunja sheria ila nimeongea ukweli tu 😅😅😅! Kwahio ukweli ndio kuchamba sikuhiziDuh!!
Sijawahi kuona mwanaume anachamba kiasi hiki.
Wewe bibi wa 35yrs unatafuta Kijana wa 37yrs?
Rekebisha hapo iwe 45 and above
Unamika 35 na unaleta masharti na vigezo vyote hivyo kweli tuko kwenye wakati mgumu sana.salaam.
Ama kweli wanaume smart wanao jitambua wanaojua thamani ya mwanamke, wote wameoa. inasikitisha sana.
Hivi inawezekana vipi kila mwanaume anae onesha interest kwangu nikamuelewa nikija kumcheki kidoleni nakutana na pete? hivi ni mimi tu au na wanawake wengine wanakutana na changamoto hii?
Wakuu, sio kwamba wanaume waoaji hawapo, wapo tena wengi sana tatizo ni je huyo anaekuja moyo umempenda? mtu wa kuishi nae lazima moyo umpende.
Je ina maana wakaka ambao hamjaoa ni kweli kwamba hamna sifa kama za hawa married men? kweli hampo?
Nimekuja hapa kusema la moyoni na si kwamba huku ninapoishi hakuna wanaume, wanaume wapo ila wengi wao wameoa, ambao hawajaoa unakuta moyo haujampenda.
Umri umeenda ninahitaji kuwa na familiya ambayo nitakuwa huru nayo bila lawama. Niwe wazi kuna mtu yupo tiyari kwenda kwetu hata leo tatizo ni mme wa mtu. ana kila sifa ya mwanaume ninaemtaka lakini tatizo ndo hilo. Sijaingia mahusiano nae kwa sababu zifuatazo:,
1: Nitamwambia nini mama?
2: Namuogopa Mungu,
3: Familiya yake wakijua nitafanyaje mimi?
4: Nitakosa raha ya kuwa nae huru, nitakosa raha ya kuwa karibu na ukweni ( mbaya sana)
5: Nitalaumiwa na jamii etc
Hivyo basi nikaona siwezi hiki kiwanja chenye mgogoro, I deserve to have my own family:
Wewe mwanaume,
1) umri 37-45
2) mkristo mcha Mungu ukiwa RC itapendeza
3) Mchapa kazi haswaaa, mtafutaji kama mimi ( staki mwanaume anaelialia yeye kila siku hana hela lawama haziishi huyu hapana)
4) Anajipenda na anapenda kuishi maisha safi
5) mrefu
6)caring person, etc
Kama una hizo sifa njoo pm.
hakuna mtu asiependa vitu vizuri, hakuna asiependa mafanikio, ndo maana nimekuja hapa maybe nikakutana na mtu ambae tunaendana.
Kuhusu mimi,
1: age 35 ndo maana natafuta mzee mwenzangu.
2) sina mtoto, sijawahi kuolewa ila mwanaume huyo akiwa na mtoto mmoja na hana mgogoro na mzazi mwenzie mtamlea coz I like kids.
3) Elimu chuo kikuu
4) Kazi ninayo
5) kinywaji situmii
6) Rangi , rangi safi ya kati situmii mikorogo
7) Dini RC
8) mchapa kazi haswaa with brain.
Mume wangu nimechoka kukusubiri, nimekufuata huku nisije angukie mikononi mwa mme wa mtu. tho ana kila kitu ninachokitaka lakini nikikumbuka mme wa mtu sumu nalia, usichelewe plz nina muda mchache wa kufanya maamuzi.
GOD BE WITH YOU.
Wakina afande sele [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyo mwanaume 35+ utapata wachovu tuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dahHayahaya wanunua magazeti jioni wahini kwenye meza ya magazeti
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Niko hapa tatizo Mimi sio RC ni DC.
Anatafuta sponsor huyu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hapo kwenye sifa ya "Caring person" Kuna kitu unajaribu kuficha ficha.
Hebu nyoosha maelezo vizur[emoji4]
Ha ha haaaKwanini mlimchoma mwenzetu kwa moto????
Aisee binafsi watoto under 30 hapana hata kidogo. Na umri huu nadate na 22-25 nampeleka wapi yani!Mkuu naona umeamua kuua kabisa matumaini ya huyu dada yetu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
On a serious note, mwanaume yoyote smart, anaejiweza mwenye umri wa miaka 37 hawezi kamwe hata kuwaza kutoka na mwanamke wa miaka 35! Sisi "vijana" wa umri huo target zetu ni vibinti vya miaka 19 mpaka 22 ikizidi saaana 25 hapo ni mwisho. Anyway tusimkatishe tamaa dada yetu huwezi jua.
Abrianna ( the name)[emoji28][emoji28][emoji28]
Unamchokonoa bure tu unajua exactly akisema kinywaji hatumii anamaanisha nini.....Jiongeze kiutu uzima.....Kinywaji hutumii inamaana hata maji hunywi??? Mpaka hapo ushakosa vigezo inaonyesha wewe muongo! Na ukisema ni typing error au ulisahau kuweka vizuri maelezo Bado utakua hufai kwa matumizi ya Mke mmaana utakua upo Careless kwa vitu vidogo vidogo na muhimu.
Halafu hutakiwi kumuogopa Mungu bali anataka umtii na kumuheshimu. Kila siku anawambia mumfanye kua Rafiki yake maana yeye haogofyi mpaka mumuogope
Don't be mad at me natania tu!!
Hakuna kitu kilicho ta full potential (100%) All the Best mate👊
Aisee binafsi watoto under 30 hapana hata kidogo. Na umri huu nadate na 22-25 nampeleka wapi yani!