All About Feeling Good!!

Haika

JF-Expert Member
Mar 3, 2008
2,348
559
Nimeona wote humu ndani tumeshazoa habari mbaya, ndiyo tunaona kama ndio NEWS.
Mara ufisadi, mara maalbino, mara hakuna action taken, yote yanaishia hewani.
Nimeona kuwa tunachakaza akili zetu.
Please tuweke hapa habari za kitanzania ambazo zinatufanya tujisikie vizuri, tuwe proud na nchi yetu, tuhabarishane watendaji wazuri, ofisi iliyofanya kitu cha kusifiwa (bila kinyongo, wala hiden agenda)
Wako watendaji wazuri tu hapa TZ, tena wengi na waadilifu, wenye kuenda extra mile.
Kuna utendaji unaoonekana wazi wa kutufanya watanzania tuongeze imani na nchi yetu na baadhi ya viongozi tunaowachagua.
 
Mimi kwa kuanzia nimefurahi sana kwamba hatimaye Diwani wetu amefukuzwa kazi. Baada ya malalamiko mengi sana ametolewa. Alikuwa non performer, na kikwazo, mlevi nk, aligawa vitenge vizuri sana kwa akina mama ile siku ya uchaguzi, wakalewa kabisaaaa,
Nimefurahi sana kwani inaonyesha level fulani ya uwajibishwaji.
 
Haika,most of the time good news go unnoticed coz we always expect good things lakini hamna mtu anapenda habari mbaya hivyo zinapotokea ndio maana zinahit ile mbaya.
 
Haika,most of the time good news go unnoticed coz we always expect good things lakini hamna mtu anapenda habari mbaya hivyo zinapotokea ndio maana zinahit ile mbaya.

Good news is not news Haika!
Watu wanashabikia zaidi kuhusu bad news which is news.If dog bites a man its not news hata kama mwizi kabambwa live na dog!..ila when man bites dog...thats news!
 
hey Haika,can you tell me what's going on with Rama mla watu cause i've been busy listening to stories about uchawi bungeni,now i,m up to these issues of mpasuko wa kisiasa na treekila na Rostam.Haika try to update your brain software eachday.oooops!there is no where to run from these stories.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom