Aljazeera

Aljazeera

Aljazeera wapo bias

Pro arab and islamic

Kuna mama moja wa kizungu humo aliajiriwa kwa pesa ndefu akapewa shughuli ya kutoa hate speech kwa israeli
 
Kwa sana.
Kwanza ni kama vile duniani hakuna matukio mengine kwa sasa. Wao wako pale pale na one-sided stories.
Hata uchambuzi wao ukisikiliza unaweza jua vita alianzisha Israel
 
Aljazeera ime - base upande wa palestina kazi yao ni kuongea mabaya ya Israel tu .
Hamas ndo ilichikoza Israel ila hawasemi kutwa nzima ni kuponda Israel na IDF.

BBC ndo channel nzuri wapo kati kati.
Kinjekitile aliwachokoza Wajerumani, Kinjekitile alikuwa Gaidi.

Mkwawa aliwachokoza wajerumani, Mkwawa alikuwa Gaidi.

Tanzania ilipambania ardhi yake ya Kagera kutoka kwa mvamizi Iddi Amini. Tanzania ni Magaidi.
 
Kinjekitile aliwachokoza Wajerumani, Kinjekitile alikuwa Gaidi.

Mkwawa aliwachokoza wajerumani, Mkwawa alikuwa Gaidi.

Tanzania ilipambania ardhi yake ya Kagera kutoka kwa mvamizi Iddi Amini. Tanzania ni Magaidi.

Mfano wa hovyo kutoka kwa ostadhi,unaelewa hata maana ya ugaidi?
 
Back
Top Bottom