ALJAZEERA na Mambo ya ARUSHA

Wametimiza walichotaka kufanya, kuua raia ili ionekane Chadema ni chama cha fujo. Wazo la maandamano ya nchi nzima linahusika sana kwa ajili ya kumwambia Mkwere tumechoka tunataka mabadiliko ya lazima
 
Nipeni THANKS basi kwa POST nzuri jamani.

Dont push it!Anyway Police force wanavyokubali kuendeshwa kipuuzi hivi wanajipalia moto maana kama itatokea fujo somewhere sio majengo na ofisi za Chukua Chako Mapema peke yake zitakazochomwa moto,bali na ofisi zao zitashambuliwa,Wanachokifanya ni kujenga chuki baina yao na raia.
 
Labda hiyo picha wamepewa na ccm wenyewe....Kati ya picha zote wameona hiyo ndiyo ya kuiweka!
 
Back
Top Bottom