Point of correction mi ni Bornagain na wala sio hivo ulivoniita, niombe radhi mheshimiwa ndo uendelee kuchangia mjadala
Uwe mwangalifu na huyu baba padri wako. Bottom line ni kwamba wao pia ni binadamu wa kiume kama wanaume wengine. anaweza akageuza somo wakati wowote, na akaishia kumsingizia shetani
Ukishazaliwa zinaa iache kwenye kondo la nyuma ulilotoka ili ukutane nayo ukubwani unapobalehe. Ukiamua kuibeba kichwani madhara yake ndio haya ya kuwa na mawazo kama yako.
Ikiwa leo Padre aogopwe kwa kusema hivyo, kesho Ciello ataongea na baba yake mzazi juu ya suala hili hili, je na yeye utamwambia awe naye makini kwa kuwa baba yake naye ni binadamu?
Acha ujinga
Hahahaaaaa "Sitengui Kauli"! Kama vipi njoo ulingoni..uone mambo ya "enter the dragon, exit the Cobra"huha!
kumbe unatafuta mchumba, hongerahahahahah ni padri cyo paroko....kama nilivyomwambia bado niponipo sana lol