Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,331
- 14,259
Umesema kweli, maana Mods sijui huwa wanakumbwa na upepo gani?? ,Kunakuwa na harufu ya Udini.RIp padree
Japo huu uzi either unafutwa au wewe mleta mada upigwe ban
Umesema kweli, maana Mods sijui huwa wanakumbwa na upepo gani?? ,Kunakuwa na harufu ya Udini.RIp padree
Japo huu uzi either unafutwa au wewe mleta mada upigwe ban
AminaPole kaka, Hakuna mji Udumuo.. tunapita wote tumuombee apumzike kwa aman
Kitima fr.. namkubali hakupenda mateso ya FR SABA Kutoka Kwa the late mwendazakeR.I.P Padre. Ninaamini umeshakutana na yule mtesi wako baada ya tukio la ule waraka wa Kwaresma. Sijui Passport walikurudishia au ndiyo uliwaachia. Msamehe tu huko Motoni aliko kunamtosha kabisa.
Nikimfahamu kama mentor.. he is a man of GOD; Intelligent and Spiritual pitia video zake youtubeMmoja wa padri mzuri mwenye kuichambua biblia na kufundisha vizuri. Nakumbuka sana mahubiri yake pale Parokia ya Maria de Matias Mivumoni.
May Allah bless you, rest in heavenly peace Fr.Fr Evarist Guzuye Chancellor
Kigoma, 3 Agosti 2021
Kweli kabisa Mkuu..Mmoja wa padri mzuri mwenye kuichambua biblia na kufundisha vizuri. Nakumbuka sana mahubiri yake pale Parokia ya Maria de Matias Mivumoni.
Kw nnRIp padree
Japo huu uzi either unafutwa au wewe mleta mada upigwe ban
ZipiHii taarifa imenishtua mno kwa sababu fulani
Alilazwa nchi gan kwanCovid 19 delta 3
Sidhan jp alikuwa na umri si mchezo ila mwili mdgCovid 19 delta 3
WazoAlilazwa nchi gan kwan
ND nnWazo
EneoND nn