Sol de Mayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 6,194
- 5,781
Mh atar sana kifo hakija wahi kubagua mtu
Nabii Muhammad na Mitume wengine wameondoka duniani sembuse mimi na wewe!!!!! كل نفس ذائقة الموت
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mh atar sana kifo hakija wahi kubagua mtu
Mmoja wa padri mzuri mwenye kuichambua biblia na kufundisha vizuri. Nakumbuka sana mahubiri yake pale Parokia ya Maria de Matias Mivumoni.
RIP Fr Saba..
Kanisa limepoteza mwl bora kabisa wa Biblia..
Wana Mivumoni tutakukumbuka daima.
Alikuwa GENIUS kati ya wachache wakubwa TZ
NitakutaarifuHuyu Father alitufindisha wengi tu, sasa nilikuwa naomba kama kuna mtu anajua ratiba ya mazishi atujuze ili tukampuzishe mpendwa wetu. Asanteni sana.
View attachment 1879443
Out of point.Who told you that Mazige is a professorMkuu, ivi kuna mwalimu bora wa biblia kama mazinge na wenzie!!!! Ushauri wangu wamfuate profesa Mazinge awafundishe biblia na maana yake pamoja na kuichambua yote. Biblia yote iko kichwani wakati watumishi/mapadri na wachungaji hamna kitu.
Mazinge yupi huyo mpiga kelele hivi unafahamu nivigumu kumuelimisha mwehu.Hamna lolote mzehe, wakikutana na mazinge uharo mtupu
Huyu sijawah kutana naye anahubiri/Kufundisha wapi?Hivi kuna mtumishi/ mchungaji au padri alieihifazi biblia nzima kichwani na kuichambua kama profesa mazinge!!!!
Mazige ganiHivi kuna mtumishi/ mchungaji au padri alieihifazi biblia nzima kichwani na kuichambua kama profesa mazinge!!!!
Huyu sijawah kutana naye anahubiri/Kufundisha wapi?
Mazige gani
Kwenye mihadhara ya dini uislamu na ukristo. Habibu othman mazinge, kiboko ya watumishi/wachungaji na mapadri. Aise uyu mbaba wanamhara, biblia yote ipo kichwani, anaijua na kuichambua.
Part 1
Part 2
Naongeza ya ziada
Huyu Father alitufindisha wengi tu, sasa nilikuwa naomba kama kuna mtu anajua ratiba ya mazishi atujuze ili tukampuzishe mpendwa wetu. Asanteni sana.
View attachment 1879443
Usipoteze muda kuhangaika na wapuuzi..imani ni moja tu nayo ni ukristo kupitia Yesu mwana wa Mungu.Mkuu mambo ya mjadala wa dini hii ni bora kuliko ile huwa sifuatiliagi. Why? Kila mmoja huwa anavutia upande wake na kwa kuwa mwanadamu Si mkamilifu Na siku zote Huwa anavuta/shawishi kwenye kile anachoakiamini yeye then ni bora nimwamini Mungu wangu kwa ule upeo wa akili yangu. Kila dini ina la kuhoji na Ku- criticizes just according to your understanding.
Vado mtoto huyo hayo mambo binafsi niliyefuatilia Enzo nikiwa kinda nisie na aikili nikiishi uswahilini Buguruni..Mkuu mambo ya mjadala wa dini hii ni bora kuliko ile huwa sifuatiliagi. Why? Kila mmoja huwa anavutia upande wake na kwa kuwa mwanadamu Si mkamilifu Na siku zote Huwa anavuta/shawishi kwenye kile anachoakiamini yeye then ni bora nimwamini Mungu wangu kwa ule upeo wa akili yangu. Kila dini ina la kuhoji na Ku- criticizes just according to your understanding.
Misa ya Kiingereza ataweza? Mazinge. Plus content ya mwaka mzima. Mazinge anawezaorganise shule, hospital zijengwe?Hamna lolote mzehe, wakikutana na mazinge uharo mtupu