Aliyeuawa si Osama Bin Laden bali ni Usama Bin Ladin

regam

JF-Expert Member
Jan 4, 2011
269
51
Wanajamvi nisaidieni. Nimetembelea mtandao wa CIA na kukuta taarifa za mauaji ya Usama Bin Ladin. Sasa najiuliza kama ndo yuleyule Osama au kuna mwingine. Ninapata mashaka hasa pale tunavyoendelea kupata taarifa mbalimbali wengine wakihoji kuuawa kwa Osama. Isije ikawa aliyeuawa ni Usama Bin Ladin na sio Osama Bin Laden!
Pitia hapa: www.cia.gov Nawasilisha!
 
Wanajamvi nisaidieni. Nimetembelea mtandao wa CIA na kukuta taarifa za mauaji ya Usama Bin Ladin. Sasa najiuliza kama ndo yuleyule Osama au kuna mwingine. Ninapata mashaka hasa pale tunavyoendelea kupata taarifa mbalimbali wengine wakihoji kuuawa kwa Osama. Isije ikawa aliyeuawa ni Usama Bin Ladin na sio Osama Bin Laden!
Pitia hapa: www.cia.gov Nawasilisha!

regam,

Jana ulilala Baa gani? Maana ugumu wa maisha unafanya watu kulewa mpaka asubuhi!
 
Walioshuhudia mauaji wanamuombea, wewe endelea tu kusema sio yeye aliyekufa!

attachment.php
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom