regam
JF-Expert Member
- Jan 4, 2011
- 269
- 51
Wanajamvi nisaidieni. Nimetembelea mtandao wa CIA na kukuta taarifa za mauaji ya Usama Bin Ladin. Sasa najiuliza kama ndo yuleyule Osama au kuna mwingine. Ninapata mashaka hasa pale tunavyoendelea kupata taarifa mbalimbali wengine wakihoji kuuawa kwa Osama. Isije ikawa aliyeuawa ni Usama Bin Ladin na sio Osama Bin Laden!
Pitia hapa: www.cia.gov Nawasilisha!
Pitia hapa: www.cia.gov Nawasilisha!