Kweli? sidhani..nasikia sebastian magangaNcha Kali ndio mrithi wa Ruge.
I second u... Tuwape muda...and by the way haya mambo huwa yanatokeaa mtu hawezi kukaa mahali milele.. yeye sio wa kwanza kuhama clouds!Wapeni muda kwanza CMG ni mapema sana kuzungumzia XXL kwa sasa? Muda utaongea na tujua ukubwa wa dozen nje ya Clouds kama anajiweza na yeye.
Kuhamia sehemu mpya kuna changamoto zake kuna kale kakauli kanasema "mazoea yanatabu" ndio hufelisha sana watu.I second u... Tuwape muda...and by the way haya mambo huwa yanatokeaa mtu hawezi kukaa mahali milele.. yeye sio wa kwanza kuhama clouds!
Alafu asilimia kubwa waliohama wakaenda huko nje waliyumba kinomanomaa..
Doooh kweli naapa sotokaa niache jf inanipa raha sijawahi ona mfanano wakehata wewe unaruhusiwa japo hujui uanzie wapi