Aliyenitoroka amerudi na mimba

nimeuliza ivo kwa maana kuwa; nikamfungulie mashtaka ya kuniibia au nimpe talaka tu basi aende na safari zake?
Usiangaike kwenda polisi au kumfukuza wewe fanya kazi ununue kitanda kwani kwa sasa ni haramu ila ukishanunua kitanda, kitanda hakizai haramu, nyambaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaafu
 
hahahahah wajinga ndio waliwao........ametoroka na vitu ndani anatoa sababu ya kijinga kwamba aliacha mlango wazi .....alikuwa anakimbilia kwa mtia mimba sasa amerudi na mimba bado huelewi cha kufanya
 
embu kua mkubwa na acha mawazo mgando aisee we ushaibiwa na ushapigiwa bado unataka ushauri?

ushauri sio kwamba nataka kurudiana nae, ila nataka nipate ushauri kuhusu vitu vyangu je nimfungulie mashtaka au nikaushe tu.
 
hahahahah wajinga ndio waliwao........ametoroka na vitu ndani anatoa sababu ya kijinga kwamba aliacha mlango wazi .....alikuwa anakimbilia kwa mtia mimba sasa amerudi na mimba bado huelewi cha kufanya

so niconclude tu sio?
 
Usiangaike kwenda polisi au kumfukuza wewe fanya kazi ununue kitanda kwani kwa sasa ni haramu ila ukishanunua kitanda, kitanda hakizai haramu, nyambaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaafu

duh! aya bhana.
 
Nakumbuka wakati wa ujana kuna rafiki alimtukana mwenzie kwa kumwambia.....Bora ungefia kwenye sabuni kuliko ustaarabu wa baba yako ukazaliwa.....Loooh!!!!!!!!! Rafiki nafikiri nawe hili litakuhusi kana siyo linakuhusu; dada yangu miss chagga nilikuambia wanaume tunabaki wachache okoeni hili janga.
 

sio mimi tu, hata wewe pia ingekufaa ufie tumboni mwa mama yako lakini kwa neema ya mungu na huruma zake ametujazia mzigo duniani.
 
huyo mwanamke ni mama yako ? useme yupo mmoja tu .. kweli sasa naanza kuamini wanaume ni wachache


Kweli kabisa miss chagga,

Hivi unaweza kuanzia wapi kuongea na mtu kama huyo na kujiuliza cha kufanya?

Anyway, tunatofautiana sana. Sikutegemea kabisa kama mtu anaweza kuwa na cha kufanya na mtu wa namna hiyo endapo alijitorokea mwenyewe!! Tena huko alikoenda akajilia maraha na kujipatia mavuno!

Hata hivyo naona vijana wa siku hizi wana jinsi yao kuishi!
 
Kweli siku hizi kuna vijana wengi wa kiume na sio wanaume! Kuna mambo mengine hata kuja kuomba ushauri ni aibu tupu!
 

R u 15??shame on u
 

maneno yake hayajaniingia akilini ndo mana nikataka nipate mawazo tofauti.
 
Mbona ulivyoamua kwenda kumpima na kumshughulikia hukuomba ushauri? mtu kakwibia,amerudi unaenda naye kupima HIV na Mimba?! ili iweje? Sharo kweli wewe!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…