Kuna kiongozi alipochaguliwa alisema yeye ndiye dereva wetu 😂😂😂Dereva kabeba Jeneza lenye maiti lakini kashuka kwenye gari akihisi gari halitembei sababu may be kuna shida kwenyw Injini lakini shida sio Injini shida ni Matairiii hakunaa...!!
Derevaa falaa tu hajui matatizo ya Abiria wakeeee sema abiria nao mafalaa yanaburuzwaaa tuuu, watu hawana maji anawaletea midegeeKuna kiongozi alipochaguliwa alisema yeye ndiye dereva wetu
Dah!!!,Km umepatia vile.Hebu chukua soda hapo kwa Mangi nitalipa.Maiti ni watanzania wasio na ufahamu.
Gari ni Tanzania.
Dereva ni magufuli.
Magufuli amewabeba watanzania wasio na ufahamu kwenye gari bovu.
Lakini hata yeye mwenyewe hajui kwanini gari ni bovu.
Anahangaika na vitu visivyowasaidia wananchi. Amebaki kukorokochoa injini kumbe shida iko chini.
Gari limebaki pale pale.