Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wadau nimesikia eti yule kijana amekufa.kuna ukweli katika hili? Mwenye taarifa atujuze.
sikutoa taarifa,nauliza kwani nimesikia fununu hizo.jamani kama hujui si ukae kimya
Mkuu labda alikuwa brainwashed na extremists? Maana si rahisi kwa mtu mpole na mnyenyekevu kugeuka kuwa mtu violent from one day to another. Just wondering...Yule Kijana nilisoma naye shule sekondari, nilikuwa nimemtangulia vidato, alikuwa ni kijana mpole kweli, asiye na makuu, alikuwa ni MchaMungu. alikuwa ni mnyenyekevu kwa viongozi wake.
Watu wanaweza wakamdhania vibaya kijana yule, lakini hao ni wasiofahamu japo kiduchu ya historia yake.
Mimi binafsi ninaamini kitendo kile alichokifanya kilikuwa nje ya uwezo wake, kwa sababu tabia yake haikuwa Violent.
Yule Kijana nilisoma naye shule sekondari, nilikuwa nimemtangulia vidato, alikuwa ni kijana mpole kweli, asiye na makuu, alikuwa ni MchaMungu. alikuwa ni mnyenyekevu kwa viongozi wake.
Watu wanaweza wakamdhania vibaya kijana yule, lakini hao ni wasiofahamu japo kiduchu ya historia yake.
Mimi binafsi ninaamini kitendo kile alichokifanya kilikuwa nje ya uwezo wake, kwa sababu tabia yake haikuwa Violent.
Yule Kijana nilisoma naye shule sekondari, nilikuwa nimemtangulia vidato, alikuwa ni kijana mpole kweli, asiye na makuu, alikuwa ni MchaMungu. alikuwa ni mnyenyekevu kwa viongozi wake.
Watu wanaweza wakamdhania vibaya kijana yule, lakini hao ni wasiofahamu japo kiduchu ya historia yake.
Mimi binafsi ninaamini kitendo kile alichokifanya kilikuwa nje ya uwezo wake, kwa sababu tabia yake haikuwa Violent.
Mapinduzi ya nini katika hili jambo?lisemwalo lipo na kama halipo laja,tusubili mkuuuu
mapinguziiii daimaaaaa
soma kwa makini mkuu hajaandika mapinduzi ni mapinguzii daima,ana maana pana sana kwa sie tukijuao kukibirigua kiswahili kwa undani.Mapinduzi ya nini katika hili jambo?
wadau nimesikia eti yule kijana amekufa.kuna ukweli katika hili? Mwenye taarifa atujuze.
Yule Kijana nilisoma naye shule sekondari, nilikuwa nimemtangulia vidato, alikuwa ni kijana mpole kweli, asiye na makuu, alikuwa ni MchaMungu. alikuwa ni mnyenyekevu kwa viongozi wake.
Watu wanaweza wakamdhania vibaya kijana yule, lakini hao ni wasiofahamu japo kiduchu ya historia yake.
Mimi binafsi ninaamini kitendo kile alichokifanya kilikuwa nje ya uwezo wake, kwa sababu tabia yake haikuwa Violent.
mkuu hata mimi nilisoma naye pale arusha mimi naitafsiri tabia yake kama anti-social na sio upole.
sikutoa taarifa,nauliza kwani nimesikia fununu hizo.jamani kama hujui si ukae kimya
Yule Kijana nilisoma naye shule sekondari, nilikuwa nimemtangulia vidato, alikuwa ni kijana mpole kweli, asiye na makuu, alikuwa ni MchaMungu. alikuwa ni mnyenyekevu kwa viongozi wake.
Watu wanaweza wakamdhania vibaya kijana yule, lakini hao ni wasiofahamu japo kiduchu ya historia yake.
Mimi binafsi ninaamini kitendo kile alichokifanya kilikuwa nje ya uwezo wake, kwa sababu tabia yake haikuwa Violent.
Mi naona tujadili kifo chako mwenyewe!wadau nimesikia eti yule kijana amekufa.kuna ukweli katika hili? Mwenye taarifa atujuze.