Grim Langdon
Senior Member
- Dec 21, 2020
- 179
- 275
👉mvutie upepo, uone kama atatimiza ahad yake.
Nilikuwa na Samsung akaniomba tubadilishaneOkay mkuu unatumia pop 3 ya tecno
Nilikiweka kwake kwa dhumun la kuja kukichukua badae kabla sijaenda kukukifata kitanda moyo wangu ukaanza kuto kumpenda Tena na Wala sikuwa na mpigia sim mpaka nilipo mtaarifu na fata kitanda changuMhmmm. Jf ina mambo mengi. Mwaka huu tutashuhudia na kusoma mengi... inaonyeshwa ww ndie ulieachwa kimya kimya. Kwanza ilikuaje hadi kufikia hapo. Kweli unampa paka samaki akulindie??? Kweli libwanta inafanya kazi.