Nashauri asikupe chochote ili upate akili 2021.Nilinunua kitanda kipya cha Tsh 450,000 nika muomba mpenzi wangu anihifadhie kwake maana kwangu kulikuwa hakuna nafasi akanikubalia
Sasa cha ajabu Mimi nilipewa likizo ndefu kazin zaid ya miez miwil ikabid niende nyumban kwetu, Sasa baada ya kumaliza likizo mkoani kwetu nikarejea kazin kama kawaida wakati wote nipo likizo sikuwai kuwasiliana na huyo mpenz wangu
Kuna siku nikamtumia sms ya kumsalimia na kumtaarifu nakifuata kitanda changu nilicho kupa unihifadhie nashaanga ana nijibu alipata matatizo ak kiuza kitanda changu na baadhi ya vitu vyake, TV na kitanda chake
Cha kushangaza nimeenda kwake nimekikuta kitanda changu ndicho ana kitumia. Nikamuuliza mbona kitanda hiki ni changu yeye akasema amekinunua baada ya kuuza cha kwake na kakubali ata nilipa kitanda changu siku yoyote ile
Mimi nilisha muacha kimya kimya siyo mpenzi wangu. Naomben ushauri nitumie mbinu gani ili niweze kupata pesa au kitanda maana Mimi siku mpa Wala kumuhonga na yeye ana lifahamu ilo.
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Mkuu labda anajilipa na zile free PNilinunua kitanda kipya cha Tsh 450,000 nika muomba mpenzi wangu anihifadhie kwake maana kwangu kulikuwa hakuna nafasi akanikubalia
Sasa cha ajabu Mimi nilipewa likizo ndefu kazin zaid ya miez miwil ikabid niende nyumban kwetu, Sasa baada ya kumaliza likizo mkoani kwetu nikarejea kazin kama kawaida wakati wote nipo likizo sikuwai kuwasiliana na huyo mpenz wangu
Kuna siku nikamtumia sms ya kumsalimia na kumtaarifu nakifuata kitanda changu nilicho kupa unihifadhie nashaanga ana nijibu alipata matatizo ak kiuza kitanda changu na baadhi ya vitu vyake, TV na kitanda chake
Cha kushangaza nimeenda kwake nimekikuta kitanda changu ndicho ana kitumia. Nikamuuliza mbona kitanda hiki ni changu yeye akasema amekinunua baada ya kuuza cha kwake na kakubali ata nilipa kitanda changu siku yoyote ile
Mimi nilisha muacha kimya kimya siyo mpenzi wangu. Naomben ushauri nitumie mbinu gani ili niweze kupata pesa au kitanda maana Mimi siku mpa Wala kumuhonga na yeye ana lifahamu ilo.
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Au nasema uongo ndugu zangu??Nashauri asikupe chochote ili upate akili 2021.
Nampeleka polis liwalo na liweHuna chako hapo na ukilazimisha utaitwa mwizi
Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
nimecheka sanakila mwaka na vituko vyake yani kauza mali ye mwenyewe na kuinunua mwenyewe. Hapo anaona ni mali yake halali kabisa ila watu wengine wana visa sana.
Nilinunua kitanda kipya cha Tsh 450,000 nika muomba mpenzi wangu anihifadhie kwake maana kwangu kulikuwa hakuna nafasi akanikubalia
Sasa cha ajabu Mimi nilipewa likizo ndefu kazin zaid ya miez miwil ikabid niende nyumban kwetu, Sasa baada ya kumaliza likizo mkoani kwetu nikarejea kazin kama kawaida wakati wote nipo likizo sikuwai kuwasiliana na huyo mpenz wangu
Kuna siku nikamtumia sms ya kumsalimia na kumtaarifu nakifuata kitanda changu nilicho kupa unihifadhie nashaanga ana nijibu alipata matatizo ak kiuza kitanda changu na baadhi ya vitu vyake, TV na kitanda chake
Cha kushangaza nimeenda kwake nimekikuta kitanda changu ndicho ana kitumia. Nikamuuliza mbona kitanda hiki ni changu yeye akasema amekinunua baada ya kuuza cha kwake na kakubali ata nilipa kitanda changu siku yoyote ile
Mimi nilisha muacha kimya kimya siyo mpenzi wangu. Naomben ushauri nitumie mbinu gani ili niweze kupata pesa au kitanda maana Mimi siku mpa Wala kumuhonga na yeye ana lifahamu ilo.
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Kwamba alikiuza na akakinunua mwenyewe!
Mwaka huu niliahidi kuwa siriazi, ila kwa hali hii sijui itakuwaje.
Kwamba alikiuza na akakinunua mwenyewe!
Mwaka huu niliahidi kuwa siriazi, ila kwa hali hii sijui itakuwaje.
Mpenzi wako ni wakike au wakiume....?
Unacheka? Badala ya kumsaidia mdogo wako anadhulumiwa kitanda hivi hivi Hahaha