PostGE2025 Aliyekuwa Mgombea urais Chama Makini, Coaster Jimmy Kibonde aomba gari alilopewa na Tume

PostGE2025 Aliyekuwa Mgombea urais Chama Makini, Coaster Jimmy Kibonde aomba gari alilopewa na Tume

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

Richer

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2025
Posts
1,446
Reaction score
2,093
Aliyekuwa Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Makini, Coaster Jimmy Kibonde ameomba Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi kumpatia Gari ambalo alipewa kama mmoja wa wagombea wa nafasi ya Urais Tanzania kwakuwa amelitendea haki kwa Kufanya kampeni karibu mikoa yote nchini Kunadi sera zake pamoja na kutangaza amani.


 
Aliyekuwa Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Makini, Coaster Jimmy Kibonde ameomba Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi kumpatia Gari ambalo alipewa kama mmoja wa wagombea wa nafasi ya Urais Tanzania kwakuwa amelitendea haki kwa Kufanya kampeni karibu mikoa yote nchini Kunadi sera zake pamoja na kutangaza amani.


Nami nilikuwa nategemea, 'MAMA' kuwaachia hayo magari kwani lengo lilikuwa KUHALARISHA UCHAFUZI uliopita, Dunia ione kuwa Wapinzani waliwezeshwa. Na waliifanya hiyo kazi!
Wakipewa, sina shaka itaibuka migogoro kwenye vyama vyao. Je, hayo magari yawe mali ya Chama, au wagombea? Pande zote zitajiona zina haki!
 
Ni pesa zetu na mimi kama mlipa Kodi ushauri wangu sio hao tu hawa kuanzia Rais na wabunge wote unless wananunua kwa pesa zao wenyewe pesa zetu tutoe gari chache kwa wizara wafanye sharing. Hatuna utajiri huo huku kitaa
 
Kutoka kwenye "SHANGINGI" hadi kurusha Mkuki(Daladala)? Life kweli siyo fair.
 
Back
Top Bottom