Megalodon
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 4,770
- 10,665
Hakuna mmbunge mwenye maslahi kuzidi hawa ma DG wa taasisi za Umma.
Massanja aliamua ku risk UDG wake over ubunge, hii ni kwa sababu Massanja anajua alichokifanya pale TRC na ufisadi mkubwa kwenye SGR …. amekimbia kukwepa uwajibikaji na kudondokewa na jumba bovu.
1. Baada ya Kifo cha JPM , under Samia and Massanja, umaliziaji wa reli za SGR ukagubikwa na Rushwa kilichopelekea reli kujengwa chini ya kiwango :
Mambo mengi yakaenda nje ya script- hapa pesa zilipigwa sana katika ununuzi wa vifaa vya Ujenzi.Bei elekezi zilikuwa ni kubwa kulinganishwa na bei ya soko.
Massanja akiwa kama Accounting Officer ndio alihusika na usimamizi wa hizi tender zote.
Kama mnakumbuka kuna kipindi treni ilikuwa inazimazima sana, tukadangànywa ngedere ndio wanaharibu miundo mbinu —- hii ilikuwa ni SCAM ya kuficha ukweli wa system mbovu zilizotumika kuunganisha nodes za train ambazo were purchased chini ya low quality kwa bei kubwa kulinganisha bei ya soko, poor training walizopata madereva wa SGR ziliathiri Ufanisi wake chini ya Usimamizi wa Massanja.
Aidha , ununuzi wa train za SGR ukagubikwa na biggest scam in our history —- train zilizokuwa kwa script sizozilizokuja : train zilizokuja ni old version na zinatumia electric system za zamani ambazo hata repair yake ni ngumu na ndio maana zinasumbua na zitaendeleakusumbua. Leo tunaambiwa Mvua, Mradi wa over trillions unaathirika na mvua ?
Ajali ya Treni ilisababishwa na poor electric system zinazofeli marakwamara in addition to inadequate wiring system ya train ( Routes), poor training waliyopata maderava - hadi kwenye training ya staff … the Accounting Officer corrupted
Massanja na washirika wake wanapaswa kuwa Jela.
Wizi mwingine ni kwenye design, kuna tofauti gani kati ya daladala na business class ? au Royal class? Nadhani wapo mliopanda business class ya SGR Ya Nairobi to Mombasa, pamoja na Royal yao. You can tell
Masanja afikishwe kizimbani ASAP
Tanzania is bleeding over curruptions
Under Samia, the Country has lost its international legacy ambayo ilitengenezwa over 60 years
Under Samia , nchi imeingia kwenye biggest corruption scandal kwenye miradi mikubwa yote na miradi yote imefeli hata ile aliyoachiwa kwa usimamizi ikiwemo SGR
Under Samia , nchi imemwaga damu than any other time in our history
Under Samia , nchi imeingia kwenye inflation than any other time in our history
Under Samia, Nepotism imekuwa the biggest scandal in our political history - Rais kuteua mwanae na mkwe to hold public positons altogether - What a shame to our state security system
Under Samia, Jeshi la wananchi, vyombo vya Ulinzi na Usalama vimedhihirisha kuwa sio mali ya Umma na vimepoteza HESHIMA kwa wananchi…
Under Samia, the country is no longer safe. what a shame and disppointment to our Army - Reform ya Jeshi ni mandatory
the only hope ni Gen Z to defend and protect our country over old pirates- The old generation has failed our Country
Dr Megalodon Mushi
Canada
Massanja aliamua ku risk UDG wake over ubunge, hii ni kwa sababu Massanja anajua alichokifanya pale TRC na ufisadi mkubwa kwenye SGR …. amekimbia kukwepa uwajibikaji na kudondokewa na jumba bovu.
1. Baada ya Kifo cha JPM , under Samia and Massanja, umaliziaji wa reli za SGR ukagubikwa na Rushwa kilichopelekea reli kujengwa chini ya kiwango :
Mambo mengi yakaenda nje ya script- hapa pesa zilipigwa sana katika ununuzi wa vifaa vya Ujenzi.Bei elekezi zilikuwa ni kubwa kulinganishwa na bei ya soko.
Massanja akiwa kama Accounting Officer ndio alihusika na usimamizi wa hizi tender zote.
Kama mnakumbuka kuna kipindi treni ilikuwa inazimazima sana, tukadangànywa ngedere ndio wanaharibu miundo mbinu —- hii ilikuwa ni SCAM ya kuficha ukweli wa system mbovu zilizotumika kuunganisha nodes za train ambazo were purchased chini ya low quality kwa bei kubwa kulinganisha bei ya soko, poor training walizopata madereva wa SGR ziliathiri Ufanisi wake chini ya Usimamizi wa Massanja.
Aidha , ununuzi wa train za SGR ukagubikwa na biggest scam in our history —- train zilizokuwa kwa script sizozilizokuja : train zilizokuja ni old version na zinatumia electric system za zamani ambazo hata repair yake ni ngumu na ndio maana zinasumbua na zitaendeleakusumbua. Leo tunaambiwa Mvua, Mradi wa over trillions unaathirika na mvua ?
Ajali ya Treni ilisababishwa na poor electric system zinazofeli marakwamara in addition to inadequate wiring system ya train ( Routes), poor training waliyopata maderava - hadi kwenye training ya staff … the Accounting Officer corrupted
Massanja na washirika wake wanapaswa kuwa Jela.
Wizi mwingine ni kwenye design, kuna tofauti gani kati ya daladala na business class ? au Royal class? Nadhani wapo mliopanda business class ya SGR Ya Nairobi to Mombasa, pamoja na Royal yao. You can tell
Masanja afikishwe kizimbani ASAP
Tanzania is bleeding over curruptions
Under Samia, the Country has lost its international legacy ambayo ilitengenezwa over 60 years
Under Samia , nchi imeingia kwenye biggest corruption scandal kwenye miradi mikubwa yote na miradi yote imefeli hata ile aliyoachiwa kwa usimamizi ikiwemo SGR
Under Samia , nchi imemwaga damu than any other time in our history
Under Samia , nchi imeingia kwenye inflation than any other time in our history
Under Samia, Nepotism imekuwa the biggest scandal in our political history - Rais kuteua mwanae na mkwe to hold public positons altogether - What a shame to our state security system
Under Samia, Jeshi la wananchi, vyombo vya Ulinzi na Usalama vimedhihirisha kuwa sio mali ya Umma na vimepoteza HESHIMA kwa wananchi…
Under Samia, the country is no longer safe. what a shame and disppointment to our Army - Reform ya Jeshi ni mandatory
the only hope ni Gen Z to defend and protect our country over old pirates- The old generation has failed our Country
Dr Megalodon Mushi
Canada