MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,495
- 20,509
Itakumbukwa takribani miaka 2 iliyopita mwanadada Shelida alijizolea umaarufu baada ya kuwapigia zimamoto simu kwa lengo la kujifurahisha na hivyo kusababisha hasara.
Baada ya kumalizika kwa purukushani hiyo askari Nyakonga alianza utaratibu wa kuliweka jiko hilo ndani kihalali.