Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,834
- 18,836
Huyu Dk. Slaa kipindi cha JPM alipokuwa balozi alibadilika sana na kukana kila kitu alichokuwa akikipigia debe alipokuwa upinzani
Kwanza alidai mikutano ya hadhara ni sahihi kufungiwa sababu uchaguzi umeisha(akiwa CDM alikuwa akifanya mikutano hiyo sana)
Pili alidai serikali ya Magufuli kufungia bunge ilikuwa ni sahihi sababu wapinzani huwa wanapotosha vitu vingi bungeni
Tatu alisema katiba mpya sio kitu cha muhimu na hakifai serikali kupoteza muda na hela kwa ajili ya katiba mpya
Nne alisema Tundu Lisu kupigwa risasi bungeni ni jambo la kawaida
Tano alisema Freeman Mbowe kupewa kesi ya ugaidi iliyokuwa ni halali licha ya kutokuwepo na ushahidi wowote wa maana, na waliokuwa wakipaza sauti ili aachiwe walikuwa wakimkwaza
Slaa alisema hivyo baada ya kuteuliwa balozi na baadae hata aliporudishwa alikuwa akitamka vitu vya hovyo akidhani atapata shavu serikali ya Samia
Yaani japo Lipumba ni kigeugeu ila angalau ana ubinadamu afadhali hata kuliko Slaa... Kesi ya ugaidi dhidi ya Mbowe na Lissu kupigwa Risasi Lipumba aliongea kulaani japo hakuwa vocal sana, ila Slaa aliunga mkono
Slaa anahongwa na anahongeka vizuri tu
Hili halihusiani na suala la bandari, Slaa ana haki zote za kukosoa Mkataba wa Bandari ila sio kutuambia kuwa hawezi kuhongwa
Kwanza alidai mikutano ya hadhara ni sahihi kufungiwa sababu uchaguzi umeisha(akiwa CDM alikuwa akifanya mikutano hiyo sana)
Pili alidai serikali ya Magufuli kufungia bunge ilikuwa ni sahihi sababu wapinzani huwa wanapotosha vitu vingi bungeni
Tatu alisema katiba mpya sio kitu cha muhimu na hakifai serikali kupoteza muda na hela kwa ajili ya katiba mpya
Nne alisema Tundu Lisu kupigwa risasi bungeni ni jambo la kawaida
Tano alisema Freeman Mbowe kupewa kesi ya ugaidi iliyokuwa ni halali licha ya kutokuwepo na ushahidi wowote wa maana, na waliokuwa wakipaza sauti ili aachiwe walikuwa wakimkwaza
Slaa alisema hivyo baada ya kuteuliwa balozi na baadae hata aliporudishwa alikuwa akitamka vitu vya hovyo akidhani atapata shavu serikali ya Samia
Yaani japo Lipumba ni kigeugeu ila angalau ana ubinadamu afadhali hata kuliko Slaa... Kesi ya ugaidi dhidi ya Mbowe na Lissu kupigwa Risasi Lipumba aliongea kulaani japo hakuwa vocal sana, ila Slaa aliunga mkono
Slaa anahongwa na anahongeka vizuri tu
Hili halihusiani na suala la bandari, Slaa ana haki zote za kukosoa Mkataba wa Bandari ila sio kutuambia kuwa hawezi kuhongwa