Nilianza kilimo nikiwa na kilo 78 sasa Nina kilo 64..!!!Nimekimbia, nimeruka n.k nk lakini nimeshindwa kabisa kukiondoa. Naomba wale
ambao mlikuwa na kitambi mutoe maelezo hapa nini mulifanya ili kukiondoa?
Nunua hicho kitabu soma kisha fuata maelekezo, mimi nilikuwa ninafuatilia lishe nukashusha kama kilo 7 ndani ya mwezi, daaah ila konyagi na kitimoto sasa
Ulivyomalizia
80% ya uzito wako hutokana na vyakula unavyokula . 20% ni kutokufanya mazoezi ya viungo.
Ukitaka kufanikiwa panga discipline katika yote mawili.