ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,556
Mtu mmoja amefariki baada ya watu wanne kuingia katika shindando LA kumtafuta atakaeweza kumaliza mizinga minne ya gongo kwa mkupuo,yasemekana wawili waliishia raundi ya pili wakati wengine wawili walijribu wamalize lakini mmoja akaishia raundi ya tatu ambapo marehemu baada ya kumaliza mzunguko Wa mwisho alianguka na kufariki
Mwito kwa Serikali kuwasaka wote walioandaa na kudhamini mchezo huo mchafu ambao zawadi kwa mshindi ilikua ni Tsh 2000/- ,maana yasemekana kulikuwepo na refalii ambae alipuliza kipenga kuashiria kuanza kwa mpambano,Serikali ionyeshe ukali wake hata kwa MTU aliyepeleka hiyo Pesa Tsh 2000/eti ikanunue sanda!hii ni dhihaka kwa wafiwa na ikumbukwe si Mara ya kwanza kwa tukio kama hili kutokea,nasikia Iliwahi tokeaga Korogwe pia shindano LA kunywa pilipili kichaa bakuli zima ulevini ambapo pia maisha ya MTU yakapotea,Ni bora sasa wanaoshabikia matukio haya wachukuliwe hatua Kali iwe onyo kwa wengine.
Mwito kwa Serikali kuwasaka wote walioandaa na kudhamini mchezo huo mchafu ambao zawadi kwa mshindi ilikua ni Tsh 2000/- ,maana yasemekana kulikuwepo na refalii ambae alipuliza kipenga kuashiria kuanza kwa mpambano,Serikali ionyeshe ukali wake hata kwa MTU aliyepeleka hiyo Pesa Tsh 2000/eti ikanunue sanda!hii ni dhihaka kwa wafiwa na ikumbukwe si Mara ya kwanza kwa tukio kama hili kutokea,nasikia Iliwahi tokeaga Korogwe pia shindano LA kunywa pilipili kichaa bakuli zima ulevini ambapo pia maisha ya MTU yakapotea,Ni bora sasa wanaoshabikia matukio haya wachukuliwe hatua Kali iwe onyo kwa wengine.
