blackstone
Senior Member
- Aug 11, 2015
- 147
- 128
very nice dogo katuwakilisha,maana soka ndo hatuwezi tena limebaki midomoni tu.Namshauri dogo atoe ngoma yakisoka soka na mwakani atuwakilishe tena.
Hahaha...du. Asante umenitoa usingizini.Ruvuma huko
za,kuiba kuraNI matunda ya Sera thabiti za CCM
kaimbe wewe mkuu.....kama.yeye kakata mauno. .....watz acheni chukiJamaa kafeli ...kakata viuno hajaimba kachafua bendera
UmefallJamaa kafeli ...kakata viuno hajaimba kachafua bendera
Kafanyaje davidoDaaaa Hivi Yule ndo Davido??? Daaaaa halali Mohombi asiwe na Time nae hivi vitu vinaenda na Nyota
AmenDiamond ujaaliwe uhai mrefu yani taifa linajivunia we kijana japokua mahakimu wakidunia ni wengi na wana mihemuko ya ki team lakini habari wanayo tumuachie Mungu kazi za kuhukumu na kunyooshea wenzetu vidole kujiona wenywewe bora na hawana dhambi
mimi pumzihaiuzwi kama mtanzania mwenzio nakupongeza sana kwa juhudi zako unatugusa wengi kwa namna za kipekee mengine tumuachie maulana
ha ha ha ha mwisho wa reli ni chisegu au chiwata??????Hahahaa... zishafika achimwene... najua ulikuwa hujui kwamba siku hizi kuna treni ya kwenda Mpindimbi!!!!
Haha kweli aisee nimechanganya madawa, Matola ndio alikuwa teamkiba but naona sahivi naye kashamchoka maana habebekibraza unanionea asee sijawahi kua team kiba teh teh teh.....ile sred ilikua ya team diamond...