Wakuu habarini?
Nataka ninunue flat TV kwa ajili ya matumizi ya office, nimepita huku na kule nikavutiwa na kampuni hizi mbili za TV, naomba ushauri wenu, Ni kampuni gani Ni Bora , ipi imara na inadumu?View attachment 2362836View attachment 2362837
Hisense hutajutiaNi kampuni gani Ni Bora , ipi imara na inadumu?
Tlc ndo walewale kina alimataputapuila bwana umasikini ni mbaya. Jamaa anavyouliza Alitop sijui Boss usidhani hajui kama kuna LG, Samsung, Hisense, TCL, Mi Nk. anajua ila daaah pesa jamani hakuna
Dah!inamaana hujaelewa bandiko la jamaa!?Hisense hutajutia
nimeelewa vizuri, maana alizo post zote ni takatakaDah!inamaana hujaelewa bandiko la jamaa!?
Hiyo Alitop ni ya wapi? LG, Samsung au SONY.
Tlc ndo walewale kina alimataputapu