Wazazi wangu wamekuwa wakimsifia X wangu kwamba tuliendana kwa kila kitu. Tulikuwa na uchumba wa miaka saba, alifanikisha kutoa barua tu na naambiwa kuwa hata kama yeye ndo aliyeniacha lakini bado atakuwa anaumia kwasababu kuna vitu alishavizoea kutoka kwangu.
Tumebahitika kupata mtoto mmoja wa kike. Aliniambia tusitafutane lakini juzi ameulizia maendeleo yangu na ya mtoto.
Je, imekaaje hii?
Tumebahitika kupata mtoto mmoja wa kike. Aliniambia tusitafutane lakini juzi ameulizia maendeleo yangu na ya mtoto.
Je, imekaaje hii?