Issaya Kandonga
Member
- Sep 25, 2010
- 18
- 8
Hotuba ya rais wa Iran kuhusu what was claimed a terrorist attack ya 9/11 huko US yanaweza yakawa na ukweli wowote kweli?
Sijui huyu jamaa anawaza nini katika cmments zake kuhusu mambo yanayohusu siasa za ulimwengu huu usioisha vita kwa sababu za watu kama yeye wasiotaka maridhiano ya amani bila kuoneshana mbavu ya kijeshi.
Mmhm me ssemi chochote kwa leo nawaachia nyinyi!
Sijui huyu jamaa anawaza nini katika cmments zake kuhusu mambo yanayohusu siasa za ulimwengu huu usioisha vita kwa sababu za watu kama yeye wasiotaka maridhiano ya amani bila kuoneshana mbavu ya kijeshi.
Mmhm me ssemi chochote kwa leo nawaachia nyinyi!