asakuta same
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 14,829
- 5,039
ilikuwaje hamkuoana?
Kamwagie acid
Huyu mkaka ndio alinifundisha abc ya kukaa uchi huku mkiwa mnafanya kila wazazi walichokataza juu ya wavulana.
Ameoa na mimi nimeolewa.
Lakini cha ajabu tunapendana kuliko tunavyopendana wa wandani wetu.
Mi kwakweli nataka niishi maisha safi ya ndoa, je nifanyeje ili nimuache?
Kamwagie acid
mgekuwa mnapendana si ndio mngeoana?mnatamaniana nyie tuHuyu mkaka ndio alinifundisha abc ya kukaa uchi huku mkiwa mnafanya kila wazazi walichokataza juu ya wavulana.
Ameoa na mimi nimeolewa.
Lakini cha ajabu tunapendana kuliko tunavyopendana wa wandani wetu.
Mi kwakweli nataka niishi maisha safi ya ndoa, je nifanyeje ili nimuache?
sasa aolewe mara mbili??
leo siko poa kabisa my friend!
badilishaneni wenza. Au mshirikishe mumeo na mkewe kisha mfanye four-some......!!!
Huyu mkaka ndio alinifundisha abc ya kukaa uchi huku mkiwa mnafanya kila wazazi walichokataza juu ya wavulana.
Ameoa na mimi nimeolewa.
Lakini cha ajabu tunapendana kuliko tunavyopendana wa wandani wetu.
Mi kwakweli nataka niishi maisha safi ya ndoa, je nifanyeje ili nimuache?
Huyu mkaka ndio alinifundisha abc ya kukaa uchi huku mkiwa mnafanya kila wazazi walichokataza juu ya wavulana.
Ameoa na mimi nimeolewa.
Lakini cha ajabu tunapendana kuliko tunavyopendana wa wandani wetu.
Mi kwakweli nataka niishi maisha safi ya ndoa, je nifanyeje ili nimuache?
Huyu mkaka ndio alinifundisha abc ya kukaa uchi huku mkiwa mnafanya kila wazazi walichokataza juu ya wavulana.
Ameoa na mimi nimeolewa.
Lakini cha ajabu tunapendana kuliko tunavyopendana wa wandani wetu.
Mi kwakweli nataka niishi maisha safi ya ndoa, je nifanyeje ili nimuache?
Huu si uzinzi tu,maana we umeshaolewa sasa unataka kumuacha yupi tena??Au sijakuelewa.Huyu mkaka ndio alinifundisha abc ya kukaa uchi huku mkiwa mnafanya kila wazazi walichokataza juu ya wavulana.
Ameoa na mimi nimeolewa.
Lakini cha ajabu tunapendana kuliko tunavyopendana wa wandani wetu.
Mi kwakweli nataka niishi maisha safi ya ndoa, je nifanyeje ili nimuache?
Pole sana...kuolewa mwisho mara ngapi? Au nimesahau mambo ya kidigitali?