Sipo
JF-Expert Member
- Jul 25, 2008
- 2,139
- 91
- Thread starter
- #41
Kwani kaka tangu alipokutana na huyo ex na wewe ulivyoreact baada ya kukwambia ameshafanya kitu kama hicho tena? Je kuna kingine ambacho kinaweza kuwa kimeashiria kutokuwa muaminifu?
Kwanza mimi ninaamini kabisa mpaka akwambie wewe ukweli kuwa nilikutana na ex wangu juzi huyu ni mwaminifu sana kwako kwa sababu angeweza kukwambia kuwa hajakutana naye miaka wala hajui alipo. Kaka wanawake huwa tuna tabia ya kupenda kuonekana wasafi so kwa kitendo hicho nampa pongezi wifi kwa kuwa mkweli kwako.
Chunguza kama hakutani naye tena na wala hana dalili ya kutokuwa muaminifu kwako. Kama kosa hilo la kukwambia ukweli ndio doa pekee, please think twice before dumping her kwa kosa hilo
nashukuru lakini hawa ni watu ambao kwa maelezo yake ni kwamba huyo jamaa wake alikuwa mpangaji wao na mpaka sasa ni mpangaji wao. kwahiyo ni watu ambao kwa kuonana tu ni daily kwa sababu wanakatiza korido moja. Ila tu kwa sasa jamaa kaoa. Ila kilichoniumiza sana ni suala la yeye kupokea michango ya harusi ya huyu bwana kutoka kwa waliokuwa shemeji zake hapo nyuma kabla ya kuwa na mimi. Halafu pia wakati wa graduation huyu bwana alikuwepo na hadi kwenye picha za ukumbini ame-appear, nilivyomuuliza akasema Mama yake ndie alieyemualika kama mpangaji wake. Anway kaalikwa na mama yake kwanini akaacha hiyo picha iwepo kwenye albamu yake ambayo mimi lazima ningeiona. Akakosa jibu.