Acha uongo wewe dada. Kwa nn unadanganya watu.Yule kijana yupo na alitembea na wewe muda wote huo.Kama unataka kumuona nitakusaida ila ni mgonjwa sana nicheki
Unaweza kuishi mahala kwa zaidi ya miaka mitano na nyumba ni yenu mmejenga.unaishi na wazazi wako na wadogo zako wengi tu ila siku mtu akina mtaani anawaulizia hata nyumba zinazopakana wanasema hawajawahi kuishi watu hao hapo?
Wadogo zako qanasoma shule za Kara maeneo hayohayo bado watu hawawajui.
Nimempa mtu baadhi vyenye maana
Vitabu nimetupa
But hata vitabu vyenyewe na picha havitoki.
Ishu sio vitu.ishu ni yeye
Au mpenzi wa kwanza maishani ndo anakuwaga hivi?
Unaweza kuishi mahala kwa zaidi ya miaka mitano na nyumba ni yenu mmejenga.unaishi na wazazi wako na wadogo zako wengi tu ila siku mtu akina mtaani anawaulizia hata nyumba zinazopakana wanasema hawajawahi kuishi watu hao hapo?
Wadogo zako qanasoma shule za Kara maeneo hayohayo bado watu hawawajui.