Aliko Tundu Antipas Lissu

Aliko Tundu Antipas Lissu

20162016

JF-Expert Member
Joined
Mar 3, 2011
Posts
206
Reaction score
96
Wadau
Ni muda mrefu sasa kamanda wetu hatujamsikia, mara ya mwishomm kumuona ilikuwa siku ya mdahalo alipomnyosha Mnyaa star tv, km kuna mtu ana taarifa za wapi yupo kamanda wetu atujulisha.
 
anawanyoa kimya kimya sasa hivi ..
Naona kipindi hiki wabunge wengi wako majimboni kwao wakiwambia wananchi mpaka sasa wamefanya nini!
Nahisi naye atakuwa amejichimbia jimboni na kuendeleza mikutano ya kata kwa kata,kijiji kwa kijiji!
 
kama yupo nadhani kesho lazima atie timu. si juzi watu wamemuulizia Halima si mmeona leo katia timu msibani.
 
Muda si mrefu utamskia tena vuta subira kidogo, kuna document ana malizia kuziandaa
 
Ukikosa bahasha za kuwapa waandishi utasikika wapi?
 
Ni jirani yangu, nimemuona jana nyumbani kwake Tegeta kibaoni.
 
hayo majina uliyo andika mbona ni sawa na LAT?. Kama ndiye, basi yupo humu kila siku. ova
 
Back
Top Bottom