chukuachako
JF-Expert Member
- Nov 13, 2014
- 1,186
- 797
Mi siamini kama management ya diamond ndo imemtoa kimataifa.sikatai kwa hapa tz management ya babu tale na fela ziko poa..ila kwenye level za kimataifa sidhani..diamond amepasua kimataifa kutokana na juhudi zake plus support ya mafans..dogo ana njaa ya mafanikio na anajua kuitumia fursa pale inapojitokeza...kiba alikuwa kwenye project ya r-kelly..ilikuwa ni nafasi yake pia kutengeneza connection na wasanii wengine..ila kutokana na mablue ya kiba na kujifanya ye ni bora sana nadhani ye ndo alikuwa anasubiri aombwe collabo na wasanii wenzake...
Nakumbuka alivozamia kwenye harus ya p square watu walimcheka sana.