sonofobia
JF-Expert Member
- Jun 21, 2015
- 384
- 2,525
Nataka niwamegee siri kidogo kwa nini Diamond ataendelea kuwaburuza wasanii wenzake kwenye kuinua na kuvitoa vipaji vipya.
Nikichukulia mfano wa msanii wake Zuchu.
1. Ameakikisha Zuchu ana nyimbo za kutosha tena kali za kuwashawishi wananchi yani kasimamia kwenye basics kwamba msanii ni nyimbo.
2. Alijiandaa kumtoa Zuchu lakini alikuwa anasubiri wakati sahihi na huu wakati wa corona umekuwa sahihi sababu shughuli nyingi za muziki zimesimama hivyo yeye na timu yake wana nafasi ya kutosha kuweka nguvu kwa Zuchu.
3. Uwekezaji, unaona kabisa Diamond anawekeza sio tu pesa bali muda wake na nafasi yake kuakikisha watu wanampokea msanii wake. Ukipita page yake ya Instagram unaweza sema ni fanpage ya Zuchu.
4. Qualities, unaona kabisa kila kitu anachofanya kwa msanii wake anahakikisha kinakuwa na kiwango cha staa mkubwa. (Mfano ni instalive ya Zuchu jana.) Hii inasababisha hata washabiki kumuweka msanii kwenye kiwango cha kina Nandi, Rubby na Vanessa ndani ya muda mfupi.
5. Branding; Kwanza kahakikisha Zuchu ni brand inayojitegemea angeweza kuamua Zuchu aje na nyimbo kashirikisha wasanii wote wa Wasafi kina Rayvanny Lavalava Mbosso na Diamond mwenyewe lakini ametaka wampokee Zuchu kama Zuchu. Zuchu yupo kila kona ya mitandao ya kijamii na followers wanaongezeka kwa maelfu kila saa na kila mtu ana muongelea Zuchu.
Kwa kifupi Zuchu ameiteka bongofleva tayari na pengine anaweza kuwa malkia mpya wa muziki east africa.
Hii ni kinyume na wasanii wenzake angalla Harmonize juzi kamtoa msanii wake kesho yake nae anaachia wimbo wake bedroom remix kashirikisha wasanii kibao. So anamnyima msanii wake jicho la kutazamwa watu obvious watatazama kazi ya Hamo na wasanii wengine wakubwa. Na hapo hapo anatangaza album yake kiukweli ni kama hajajipanga anawachanganya fans wake waweke concentration wapi.
Ali Kiba yeye anapokosea ni kila akimtambulisha msanii wake anataka aimbe nae, kiasi watu hawaamini tena msanii wake mpya wanamsikiliza yeye
Pia Ali style yake ya utoaji nyimbo ndio anaitumia kwa wasanii wake wachanga. Mtu kama Ki2ga tangia atoe Masozy watu wamekuja msikia tena baada ya mwaka as if nae ni staa. Anakuwa anaanza upya kila siku.
Msanii wa Kiba akienda kutambulisha nyimbo Kiba anakuwa pembeni hii ni mistake kubwa sana sababu yeye anawafunika wasanii wake. Anawatkiwa awaache wasimame wao kama wao yeye awape backup support.
Wasanii wa Kiba awana matukio wala awapo active mitandaoni yani ukitaka kuwasikia basi utafute nyimbo wameshaaminishwa wao ni team mziki mzuri so wameishia hapo. Huyu msanii wake mpya unaweza shangaa next week usimuone tena mitandaoni Kiba atakaa kimya na menejimenti haifanyi lolote kumsukuma aonekane.
Nikichukulia mfano wa msanii wake Zuchu.
1. Ameakikisha Zuchu ana nyimbo za kutosha tena kali za kuwashawishi wananchi yani kasimamia kwenye basics kwamba msanii ni nyimbo.
2. Alijiandaa kumtoa Zuchu lakini alikuwa anasubiri wakati sahihi na huu wakati wa corona umekuwa sahihi sababu shughuli nyingi za muziki zimesimama hivyo yeye na timu yake wana nafasi ya kutosha kuweka nguvu kwa Zuchu.
3. Uwekezaji, unaona kabisa Diamond anawekeza sio tu pesa bali muda wake na nafasi yake kuakikisha watu wanampokea msanii wake. Ukipita page yake ya Instagram unaweza sema ni fanpage ya Zuchu.
4. Qualities, unaona kabisa kila kitu anachofanya kwa msanii wake anahakikisha kinakuwa na kiwango cha staa mkubwa. (Mfano ni instalive ya Zuchu jana.) Hii inasababisha hata washabiki kumuweka msanii kwenye kiwango cha kina Nandi, Rubby na Vanessa ndani ya muda mfupi.
5. Branding; Kwanza kahakikisha Zuchu ni brand inayojitegemea angeweza kuamua Zuchu aje na nyimbo kashirikisha wasanii wote wa Wasafi kina Rayvanny Lavalava Mbosso na Diamond mwenyewe lakini ametaka wampokee Zuchu kama Zuchu. Zuchu yupo kila kona ya mitandao ya kijamii na followers wanaongezeka kwa maelfu kila saa na kila mtu ana muongelea Zuchu.
Kwa kifupi Zuchu ameiteka bongofleva tayari na pengine anaweza kuwa malkia mpya wa muziki east africa.
Hii ni kinyume na wasanii wenzake angalla Harmonize juzi kamtoa msanii wake kesho yake nae anaachia wimbo wake bedroom remix kashirikisha wasanii kibao. So anamnyima msanii wake jicho la kutazamwa watu obvious watatazama kazi ya Hamo na wasanii wengine wakubwa. Na hapo hapo anatangaza album yake kiukweli ni kama hajajipanga anawachanganya fans wake waweke concentration wapi.
Ali Kiba yeye anapokosea ni kila akimtambulisha msanii wake anataka aimbe nae, kiasi watu hawaamini tena msanii wake mpya wanamsikiliza yeye
Pia Ali style yake ya utoaji nyimbo ndio anaitumia kwa wasanii wake wachanga. Mtu kama Ki2ga tangia atoe Masozy watu wamekuja msikia tena baada ya mwaka as if nae ni staa. Anakuwa anaanza upya kila siku.
Msanii wa Kiba akienda kutambulisha nyimbo Kiba anakuwa pembeni hii ni mistake kubwa sana sababu yeye anawafunika wasanii wake. Anawatkiwa awaache wasimame wao kama wao yeye awape backup support.
Wasanii wa Kiba awana matukio wala awapo active mitandaoni yani ukitaka kuwasikia basi utafute nyimbo wameshaaminishwa wao ni team mziki mzuri so wameishia hapo. Huyu msanii wake mpya unaweza shangaa next week usimuone tena mitandaoni Kiba atakaa kimya na menejimenti haifanyi lolote kumsukuma aonekane.