Zawadi B Lupelo
JF-Expert Member
- Jul 19, 2015
- 2,549
- 3,722
Hahaha kiba anawayawaya sana siku hizi
Anunue mara ngapi, hujui kuwa waliishikilia acc ya YouTube, wakaondoa robot viewers 30k, kutoka nyimbo yake ya mvumo wa radi.Naye anunuwe tu ngoma ikuwe droo.
Hivi ndivyo ilivyokuwa? ujanja unapokutana na Wajanja.Anunue mara ngapi, hujui kuwa waliishikilia acc ya YouTube, wakaondoa robot viewers 30k, kutoka nyimbo yake ya mvumo wa radi.
YouTube wamemdakaHivi ndivyo ilivyokuwa? ujanja unapokutana na Wajanja.
You tube noma, au ni wakuda walifanya yao kumchongea, maana hii bongo nayo.YouTube wamemdaka
Mkuu huu uzi wako kuna baadhi ya mambo sio ya kweli wakati unaandika huu uzi mvumo wa Radi ilikuwa na viewers 1.4 MillionHitmaker wa ngoma ‘Seduce Me’, Alikiba amefunguka na kudai kuwa ni kweli kuna mchezo wa wasanii kununua views katika mtandao wa YouTube.
Kauli ya msanii huyo inakuja ikiwa ni siku moja imepita tangu wimbo wake mpya ‘Mvumo wa Radi’ kupata tatizo katika mtandao wa YouTube ambapo idadi ya views ilisimama na baadaye kushuka.
Katika mahojiano na The Playlist ya Times FM amesema suala hilo lipo tena sana ila kwake ni kitu ambacho hakina maana.
“Tunajua kabisa kuna hizi bisness za kuweka maroboti katika hizi YouTube, watu wanajifanya wana views wengi na nini. Hivi vitu vipo, tena vipo!, vipo sana tu!, vipo tena sana boss!,” amesema.
“Eeeh, wananunua lakini kwa mimi binafsi naona ni utoto, mimi nafanya muziki wangu kwa ajili ya watu, kwanini nidanganye watu,” amesisitiza.
Katika hatua nyingine Alikiba amesema kile kilichotokea katika ngoma yake ‘Mvumo wa Radi’ halijaathiri muziki wake wala biashara yake yoyote ile.
“Haijaathiri chochote, watu wamepata walichokuwa wanataka na sio mimi nategemea pesa kutoka YouTube viwership, hapana!. Ninachotaka kwangu ni mashabiki wangu waridhike waelewe kabisa wana-deal na msanii wa aina gani,” amesema Alikiba.
Ngoma ya Alikiba, Mvumo wa Radi kwa sasa ina views zaidi Milioni 1.1 katika mtandao wa YouTube, ilitoka May11, 2018.
Source, Bongo5
Tangu ilivyotoka hadi leo bado ni number oneHitmaker wa ngoma ‘Seduce Me’, Alikiba amefunguka na kudai kuwa ni kweli kuna mchezo wa wasanii kununua views katika mtandao wa YouTube.
Kauli ya msanii huyo inakuja ikiwa ni siku moja imepita tangu wimbo wake mpya ‘Mvumo wa Radi’ kupata tatizo katika mtandao wa YouTube ambapo idadi ya views ilisimama na baadaye kushuka.
Katika mahojiano na The Playlist ya Times FM amesema suala hilo lipo tena sana ila kwake ni kitu ambacho hakina maana.
“Tunajua kabisa kuna hizi bisness za kuweka maroboti katika hizi YouTube, watu wanajifanya wana views wengi na nini. Hivi vitu vipo, tena vipo!, vipo sana tu!, vipo tena sana boss!,” amesema.
“Eeeh, wananunua lakini kwa mimi binafsi naona ni utoto, mimi nafanya muziki wangu kwa ajili ya watu, kwanini nidanganye watu,” amesisitiza.
Katika hatua nyingine Alikiba amesema kile kilichotokea katika ngoma yake ‘Mvumo wa Radi’ halijaathiri muziki wake wala biashara yake yoyote ile.
“Haijaathiri chochote, watu wamepata walichokuwa wanataka na sio mimi nategemea pesa kutoka YouTube viwership, hapana!. Ninachotaka kwangu ni mashabiki wangu waridhike waelewe kabisa wana-deal na msanii wa aina gani,” amesema Alikiba.
Ngoma ya Alikiba, Mvumo wa Radi kwa sasa ina views zaidi Milioni 1.1 katika mtandao wa YouTube, ilitoka May11, 2018.
Source, Bongo5
Labda ni internet cafeWanaoharibu ni views wanaoview kwa same ip adress via different accounts. Inaonekana kama spam ndio maana youtube wanawapunguza hao duplicates