Siyo wanafiki,hoja ya msingi hapa nadhan ni kwa mwanaume kuachiwa mtoto wa mwaka mmoja na kumlea pekee yake huku akiendelea na shughuli zake na mtoto amekua bila ya wasiwasi.
Wanaume wengi huwapeleka kwa ndugu zao wengine ila huyu kaonesha ujasiri wa hali ya juu ya kuthamini damu yake
Unajua mim naweza kukataa mimba lakin nikalea mtoto kwa kutoa matumizi.
Huyu mama wa mtoto obviously alienda kwa mwanaume mwingine pengine hata huko aliolewa sasa jamaa kumuelewa itakuwa ngumu sana,unajua sis wanaume huwa hatupend vitanda vyetu vilaliwe na watu wengine .
Hongera yake jamaa!
Sent from Samsung Galaxy S8 Plus using JamiiForums mobile app